Kwenye ulimwengu wa Waislamu, Rais Samia Suluhu ni Mwanamke wa nne Duniani kushika nafasi ya Urais

Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
Hakuna Dini iliyokuja kumpa thamani na hishma mwanamke kuliko Uislam.
 
Sheikh hazina. Rais Samia urais huu ni wa kirithi. Angegombea mwenyewe kuanzia mchakato wa kuomba Kura za maoni asingepita hata kwa kidodgo
 
Sheikh hazina. Rais Samia urais huu ni wa kirithi. Angegombea mwenyewe kuanzia mchakato wa kuomba Kura za maoni asingepita hata kwa kidodgo

Unaweza kuwa Sahihi.
Lakini sasa hivi tunazungumzia Rais aliyemadarakani Tanzania ni Samia Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…