Kwenye vijiwe vya kahawa, kashata kachori na pweza hivi sasa stori kubwa ni Rais Samia

Kwenye vijiwe vya kahawa, kashata kachori na pweza hivi sasa stori kubwa ni Rais Samia

Vijana tupunguze matumizi ya bangi sio mazuri kwa afya.
ni vizuri ukaacha kabisa kijana, halafu wewe kwanza ukipunguza bado utakua chini ya minyororo mateso ya walio kuteka hiyo mindset....

Jitahidi uache bangi wewe kwanza bana, umekua mkubwa sasa unaweza kuwaza na kuamua ukiwa huru
 
Sasa huyu mtu anayejadiliwa kwenye vijiwe vya kachori anatufaa kweli.? Itakuwa na akili ni za kikachorikachori
Yes,
Leo ni kwenye kachori,
Wikienda ijayo ni kwa bodabodas na bajaji ntaleta mrejesho uskue na wasi mpaka kueleweka....
 
Chawa mbona unasahau kuweka namba ya simu? Chawa mwenzio Lucas anakuzidi ubunifu. Chawa wa majizi ya kura mko vizuri kwenye upambe.
Muhimu ni ule uchumbe wametoa wale wa ungwana dhidi ya Dr.SSH...

Inafurahisha sana kuthibitishiwa na vijana wanaojitambua kwamba wafanya bidii wale wako na Mama, wanaimani na mama na 2025 kwenye debe watawonenyesha kivumbi vibaraka wa mabwenyenya
 
Mbona hujaweka namba za simu sasa
muhimu si number,
hiyo kila moja anayo na anaweza weka kwa malengo yake....

Ile ya maana ni kwamba vijana wa vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza wameamua kuchukua mrengo mapema sana....
2025 watamchagua Mama ikiwa atagombea Urais wa JMT..

Ushanifaham mpaka hapo...
 
muhimu si number,
hiyo kila moja anayo na anaweza weka kwa malengo yake....

Ile ya maana ni kwamba vijana wa vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza wameamua kuchukua mrengo mapema sana....
2025 watamchagua Mama ikiwa atagombea Urais wa JMT..

Ushanifaham mpaka hapo...
Lala bhana
 
Atakayechukua Fomu Kushindana na Rais Samia atavuna aibu na kulaaniwa na watanzania. mtu yeyote Asithubutu kuchukua Fomu Kushindana na Rais samia maana aibu atakayoipata kwa hakika atazimia na kupoteza fahamu.

Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyepewa kibali cha kuongoza Taifa letu.
😁😁😁😁 Njaa mbaya brother
 
Nimeandika nikafuta na nikafuta tena na tena, yule mama sijawahi mpenda haki ya nani.
CCM wote nawaombea mpatwe na mabaya tu. Amina.
 
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan.
a mno vijiweni.

Kupambana na huyu mama ni kupoteza muda.....

Wacha tusubiri,
Time Will tell.....
Ni kejeli au
 
Nimeandika nikafuta na nikafuta tena na tena, yule mama sijawahi mpenda haki ya nani.
CCM wote nawaombea mpatwe na mabaya tu. Amina.
ni sawa mukubwa,
ila yeye anawapenda kwa dhati ya moyo wananchi wote na waTanzaniao wote, regardless una mpenda ama laaa....

so uskue na wasi,
relax, fanya kazi kwa bidii kabisa,
enjoy amani, ulinzi na usalama wa kazi na mali zako ni wa uhakika, uko mikono salama ya DR SSH.

ukigua mama ana kuhakikisha tiba na madawa ya uhakika hospital,
Ukitaka kusafiri barabara ziko shwari sana, angani au majini ni kuzuri mno....

So,
Mukubwa bana we piga kazi hii ingine achia Mama anatosha....
 
Bara la Afrika ukiwa na Akili timamu fanya kila njia utimkie nje,ukibaki kwenye hili Bara lililojaa watu wajinga na wendawazimu nakuhakikishia UTAIPANDEKA!
yaani ukatumikishwe nje 😅
sasa huo si uhayawani kabisa kama huyu mjamaa kibaraka wa kutumwa kutoka ulaya anavyosumbuka ndivyo unavyotaka pia 🤣

yaani wakusakazia kama kila ovu kama umbwa,

fanya hivi tutakupa hiki,

kalete fujo tutakulinda,

galagala barabarani tutakupa pesa,

Tukana viongozi tunakuakikishia makazi ya kudumu,

wakikutishia kimbilia ubalozini 😅

au unataka ile kazi ya kumenya vitunguu na kuosha wanyama
 
Back
Top Bottom