Kwetu ni bora uvunje glass cup kuliko kuacha kwenda Kanisani. Kuna mwanamke mwenye sifa hii?

Kwetu ni bora uvunje glass cup kuliko kuacha kwenda Kanisani. Kuna mwanamke mwenye sifa hii?

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Wakubwa shikamoni na wadogo wote hamjambo..

Niseme jambo langu, nimeanza na kujieleza kuwa nimekulia familia ya ibada - Mkristo. Kitu cha kwanza nilichogundua katika maarifa na hekima niliyopata kupitia imani yangu ni kwamba maisha ya binadamu au kila jambo linalotokea kwa binadamu huanzia rohoni ndipo huja katika mwili

Kwa hiyo Ni muhimu sana Kuwa na kumbukumbu ya kila ndoto unayoipata, kuziandika zote kusudi kuzikumbuka.

Ndoto (dreams) zote Zinahusu maisha yako na kupitia ndoto Mungu anaweza kukwambia jambo au kuzungumza nawe.

Moja ya sifa ya mwanamke ambaye nitakua tayari kumuoa awe na uwezo wa kuandika kila ndoto anayoipata bila kusahau hata moja.

Na awe anaamini kuwa Mungu husema katika Ndoto.

Ninampango wa kuanzisha Threads kuhusu Tafsiri za Ndoto kibiblia.

Any one interested on this?

about dream interpretation

🧘‍♂️ 🧘‍♀️
 
Mimi siamini kwa sababu sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto ikawa kweli kabisa. Ndoto nyingi ni za uchovu na njaa tu. Utatofautisha vipi? Kuota ndoto na kuikumbuka si kigezo che ndoto hiyo kutoka kwa Mungu!

Kwa hiyo ndoto zitakupoteza, usiziamini hovyo namna hiyo. Zingine ni za mawazo yako ya kila siku au yaliyopita...! Ndoto ni kawaida kwa binadamu.

Utaandika ndoto ngapi sasa kwa staili hiyo? Fanya kazi!.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Mimi siamini kwa sababu sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto ikawa kweli kabisa. Ndoto nyingi ni za uchovu na njaa tu. Utatofautisha vipi? Kuota ndoto na kuikumbuka si kigezo che ndoto hiyo kutoka kwa Mungu...
Hata mimi nilikua na mtizamo kama wako zamani. Lakini kama unavyojua katika maisha Tunajifunza.

Mtu asie jifunza/ kutafuta Maarifa.
pia husema hakuna Mungu.
Na wewe pia unaamini hakuna Mungu ?
 
Je una karama ya kutafsiri ndoto??
If Yes fanya hivyo unaweza kuwa msaada kwa wengine.

Binafsi kila ndoto ninayoiota huwa halisi katika ulimwengu wa mwili.
KIla ninachokiona kwa picha kwa hisia ndicho uhalisia
Sijawahi kusahau yoyote na sijawahi kuandika hata moja
Nina uwezo wa kuona hali ya hewa isiyo ya kawaida (giza na nuru)
Na kusoma mtu kwa kubadilishana maneno machache tu na ndivyo alivyo
Mwanzo ilikua inanikera Sana
Nilikua najaa uwoga kama ni jambo baya
Kuna aliyeniambia nina macho ya rohoni nayo ni karama

📌ila sitafuti mume 😎😎😎
 
Je una karama ya kutafsiri ndoto??
If Yes fanya hivyo unaweza kuwa msaada kwa wengine.

Binafsi kila ndoto ninayoiota huwa halisi katika ulimwengu wa mwili.
KIla ninachokiona kwa picha kwa hisia ndicho uhalisia
Sijawahi kusahau yoyote na sijawahi kuandika hata moja
Nina uwezo wa kuona hali ya hewa isiyo ya kawaida (giza na nuru)
Na kusoma mtu kwa kubadilishana maneno machache tu na ndivyo alivyo
Mwanzo ilikua inanikera Sana
Nilikua najaa uwoga kama ni jambo baya
Kuna aliyeniambia nina macho ya rohoni nayo ni karama

📌ila sitafuti mume 😎😎😎
vizuri.

you're Muslim, is it ?
 
Hata mimi nilikua na mtizamo kama wako zamani. Lakini kama unavyojua katika maisha Tunajifunza.

Mtu asie jifunza/ kutafuta Maarifa.
pia husema hakuna Mungu.
Na wewe pia unaamini hakuna Mungu ?
Mungu yupo, haiwezekani kutowepo. Ila hayo ya ndoto kuwa makini mno, usichanganye haya mambo. Usichanganye ndoto zako za kuvimbiwa mtindi na kisamvu ukasema eti Mungu anasema na wewe[emoji23], take care

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa fikra(Imagination) na sio ndoto zinazotokana na kulala.

Ndoto nyingi za kulala hutokana na marudio ya matukio yako, hofu yako au matamanio yako.
 
Mungu yupo, haiwezekani kutowepo. Ila hayo ya ndoto kuwa makini mno, usichanganye haya mambo. Usichanganye ndoto zako za kuvimbiwa mtindi na kisamvu ukasema eti Mungu anasema na wewe[emoji23], take care

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Huwezi nielewa hadi siku ukiamua kuwa serious na Mungu wako, na kutawala maisha yako.
 
Haya bhana tuna kina Joseph na Daniel wa agano jipya pro-max.
 
Kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa fikra(Imagination) na sio ndoto zinazotokana na kulala.

Ndoto nyingi za kulala hutokana na marudio ya matukio yako, hofu yako au matamanio yako.
elimu hii umepata wapi ?? 😂😂😃
 
Kuna ndoto zinazotokana na uoga wako, matamanio yako, mawazo yako, kazi zako nk! Acha kutegemea ndoto utapotea(no wonder umeshapotea)....! Nimekuuliza unatofautishaje hizo ndoto, hujajibu.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Twende taratibu nijue Mtizamo wako umeenda hadi wapi,

Unaamini mtu ana mwili na roho na kuna uwezekano wa kutenganisha mwili na roho ?

Niambie kwanza mtizamo wako ni upi pia katika hili.
 
Mimi kwangu nimepiga marufuku mambo ya kusali sali maana naona hayana uhalisia na hayatakiwi kwenye ulimwengu wa leo.
Nasema hivyo kwa sababu waliotuletea hizo dini kwa sasa wamezikaushia na hawana mpango nazo na hii inamanisha kuwa sisi tumeletea li kitu tumelifakamia hovyo ndo maana tunakuwa nyumbu wa makanisa ya wokovu na kuwa watumwa kutoa sadaka tukitegemea tunamtolea Mungu kumbe tunashibisha wajanja wachache.
Makanisa yamekuwa chanzo cha umasikini 1.huku mitaani kwa sababu yamekithiri michango na harambee ambazo haziendani na vipato vya waumini wake.

2.Makanisa siku hizi yamekuwa kiwanda cha kutengeneza watu wavivu wakiamini kukosa na kupata ni mipango ya Mungu
3.Makanisa yana brain wash raia kwa kuwapa tumaini kuwa mbinguni kuna life lingine kumbe pepo na moto unamalizana nazo hapa hapa.
4.Makanisa yamekuwa ni sehemu ya kuwakuta kwa pamoja Wagonjwa,wadangaji wastaafu na watu wenye roho nyepesi nyepesi kwenye ku face challenges za life.
5.Misikiti ikifakamiwa na watu wenye elimu ndogo ya kujitambua imekuwa pool la kudahili ma terrorists na ma complicators wa life.
WAKIJIPITISHAA NAMWAGA HELA ASANTEEEEEEEE
 
Mimi siamini kwa sababu sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto ikawa kweli kabisa. Ndoto nyingi ni za uchovu na njaa tu. Utatofautisha vipi? Kuota ndoto na kuikumbuka si kigezo che ndoto hiyo kutoka kwa Mungu!

Kwa hiyo ndoto zitakupoteza, usiziamini hovyo namna hiyo. Zingine ni za mawazo yako ya kila siku au yaliyopita...! Ndoto ni kawaida kwa binadamu.


Utaandika ndoto ngapi sasa kwa staili hiyo? Fanya kazi!.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kama mimi tu aisee, yan mpaka nashangaa kusikia watu wameoga yrue dreams
 
Ninaamini mtu ana mwili na roho!.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
You believe spirit can travel faster than you physical body ??
Spirit can see large area with no limitation, you believe it ?
😃😃😂

Ni kweli ndoto nyingi huonesha mambo yako tu binafsi.
Lakini pia nikwa uchache sana utaoneshwa mabaya yanayokuja mbele.
kwa sababu unamapuuza.
Na Huwezi kupewa taarifa ya kitu cha mbele, au agizo la nn cha kufanya kwa sababu hata ukipewa hutoelewa ni nani anakwambia na huto elewa anakwambia nn, so utapuuza. so, na msemaji na yeye hawezi kujisumbua kukwambia kwa sababu huoni na usikii 😁

Ni kweli mostly of our dreams ni mambo na matendo yetu binafsi ya kila siku nini tunafikilia na nini tunajishughulisha nacho mostly of our times.

Sikulazimishi kutoka nje ya box 😃😃
 
Back
Top Bottom