Kwetu ni bora uvunje glass cup kuliko kuacha kwenda Kanisani. Kuna mwanamke mwenye sifa hii?

Kwetu ni bora uvunje glass cup kuliko kuacha kwenda Kanisani. Kuna mwanamke mwenye sifa hii?

Mimi kwangu nimepiga marufuku mambo ya kusali sali maana naona hayana uhalisia na hayatakiwi kwenye ulimwengu wa leo.

Mkuu katika hilo nashauri wape kauhuru, waachie ili wasikulaumu. Funika tu kombe mwanaharamu apite. Swali la kujiuliza ni hili, dini ililetwa na Wamisionari ambao nao nao ni wakoloni watangulizi ili waje kuandaa mioyo ya wazee wetu kutawalika, kisha wakaja wenyewe OG sasa(rejea historia form 4).


Nasema hivyo kwa sababu waliotuletea hizo dini kwa sasa wamezikaushia na hawana mpango nazo na hii inamanisha kuwa sisi tumeletea li kitu tumelifakamia hovyo ndo maana tunakuwa nyumbu wa makanisa ya wokovu na kuwa watumwa kutoa sadaka tukitegemea tunamtolea Mungu kumbe tunashibisha wajanja wachache.

Hahahahaha na wahanga wengi wa makanisa ya mchongo ni wanawake


2.Makanisa siku hizi yamekuwa kiwanda cha kutengeneza watu wavivu...

Ni sahihi kabisa, Yesu kwa mujibu wa Biblia alikuja kwa ajili ya wenye dhambi, ila hawa wengi wa sasa ni wavivu tu wanakimbulia slope.

Hawana maarifa ya kufanya kazi kama inavyotakiwa, wengi wamekosa kazi baada ya kumaliza vyuo nk, hawana pa kujishikiza.

wakiamini kukosa na kupata ni mipango ya Mungu

Babu zetu siyo kwamba hawakujua hila hizi za Wazungu, walijua ila hawakuwa na nguvu za kupambana nao, walipambana kwa uwezo wao mwishowe wakashindwa(walikufa kishujaa).

wenye roho nyepesi nyepesi kwenye ku face challenges za life.

Sawa sawa, wavivu ni wengi kama nilivyosema hapo juu... wanaogopa kuwajibika na ku face challenges wakijifariji kwa kutumia vibaya baadhi ya mistari ya Biblia.
 
Mkuu katika hilo nashauri wape kauhuru, waachie ili wasikulaumu. Funika tu kombe mwanaharamu apite. Swali la kujiuliza ni hili, dini ililetwa na Wamisionari ambao nao nao ni wakoloni watangulizi ili waje kuandaa mioyo ya wazee wetu kutawalika, kisha wakaja wenyewe OG sasa(rejea historia form 4).




Hahahahaha na wahanga wengi wa makanisa ya mchongo ni wanawake




Ni sahihi kabisa, Yesu kwa mujibu wa Biblia alikuja kwa ajili ya wenye dhambi, ila hawa wengi wa sasa ni wavivu tu wanakimbulia slope.

Hawana maarifa ya kufanya kazi kama inavyotakiwa, wengi wamekosa kazi baada ya kumaliza vyuo nk, hawana pa kujishikiza.



Babu zetu siyo kwamba hawakujua hila hizi za Wazungu, walijua ila hawakuwa na nguvu za kupambana nao, walipambana kwa uwezo wao mwishowe wakashindwa(walikufa kishujaa).



Sawa sawa, wavivu ni wengi kama nilivyosema hapo juu... wanaogopa kuwajibika na ku face challenges wakijifariji kwa kutumia vibaya baadhi ya mistari ya Biblia.
ila unaamini uchawi upo ?
 
You believe spirit can travel faster than you physical body ??
Spirit can see large area with no limitation, you believe it ?
[emoji2][emoji2][emoji23]

Siyo kusafiri tu, roho inaweza mpaka kuchunguza vitu nyeti kabisa. Ninaamini!

Lakini pia nikwa uchache sana

Hapo ndipo ulipojijibu, ulisema kwenye uzi wako unaandika KILA ndoto unayoota, kitu ambacho nilikupinga vikali sana[emoji23]... lazima uwe na maarifa ya kutofautisha sauti ya Mungu na isiyo yake (ya Ibilisi), na mawazo yako kupitia hizo ndoto.

Hutooneshwa mabaya yanayokuja mbele.
kwa sababu unamapuuza.
Huna ushahidi wowote kuwa ninapuuzia ndoto, na hili ndilo tatizo mlilonalo wengi mlio ndani ya box, kumchukulia Mungu kimazoea[emoji23]... unaweza thibitisha kuwa MIMI napuuza ndoto?

Na Huwezi kupewa taarifa ya kitu cha mbele, au agizo la nn cha kufanya kwa sababu hata ukipewa hutoelewa ni nani anakwambia na huto elewa anakwambia nn, so utapuuza. so, na msemaji na yeye hawezi kujisumbua kukwambia kwa sababu huoni na usikii [emoji16]

Aaah wapi! Mungu akiamua lake hakuna kinachoshindikana

Sikulazimishi kutoka nje ya box [emoji2][emoji2]

Mkuu mbona kama wewe ndiyo upo kwenye box[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo kusafiri tu, roho inaweza mpaka kuchunguza vitu nyeti kabisa. Ninaamini!



Hapo ndipo ulipojijibu, ulisema kwenye uzi wako unaandika KILA ndoto unayoota, kitu ambacho nilikupinga vikali sana[emoji23]... lazima uwe na maarifa ya kutofautisha sauti ya Mungu na isiyo yake (ya Ibilisi), na mawazo yako kupitia hizo ndoto.


Huna ushahidi wowote kuwa ninapuuzia ndoto, na hili ndilo tatizo mlilonalo wengi mlio ndani ya box, kumchukulia Mungu kimazoea[emoji23]... unaweza thibitisha kuwa MIMI napuuza ndoto?



Aaah wapi! Mungu akiamua lake hakuna kinachoshindikana



Mkuu mbona kama wewe ndiyo upo kwenye box[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaamini Biblia inamaandiko yenye mafundisho ya kweli ??
 
Nikuulize swali..
Unajua kuroga ? kama hujui ikitokea umerogwa au mtu karogwa anatakiwa afanye nn au apewe msaada gani kurudia uzima wake kama mwanzo ?
Kwa imani YANGU, inatakiwa ithibitike kuwa ni kweli amerogwa, kisha baada ya hapo aangaliwe kama ana uwezo wa kuongea na kutambua anachoulizwa au la, kama anajielewa basi aulizwe kama anaamini Yesu anaweza kumponya, akiamini, hatua ya mwisho aombewe (awekewe mikono).

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Mifano yote hiyo ambayo ipo ndani ya biblia watu wakisemeshwa kupitia ndoto siku hizi hizo mambo hakuna ??
Yamepitwa na wakati ?
Sijasema yamepitwa na wakati, na siamini kuwa yamepitwa na wakati. Ila suala ni ujinga (ufinyu wa akili) wa watu wengi kushindwa au kutotaka kutafuta maarifa ya namna ya kuzichambua ndoto waotazo.



Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Sijasema yamepitwa na wakati, na siamini kuwa yamepitwa na wakati. Ila suala ni ujinga (ufinyu wa akili) wa watu wengi kushindwa au kutotaka kutafuta maarifa ya namna ya kuzichambua ndoto waotazo.



Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Sasa huoni kuwa mimi nataka niende kinyume na huo ujinga au ufinyu wa akili?

au unafikiri mimi natetea jambo gani ?
 
Wewe umesema unaandika, pia umeshauri mtu aandike kila aotacho...! Sasa hil neno KILA lina ukakasi kidogo.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Nimesema zote kwa sababu hakuna isio na umuhimu.
kama unafikir kuna ndoto ya muhimu na isio ya muhimu ni kukosea.
hata mm kuna kipindi niliamini hivo.

but zote zina umuhimu,
 
Ndoto yenye maana na kutoka kwa Mungu ina sifa hizi
1.Unaikumbuka vizuri Kila kitu ulikuwa wapi ,na Nani? , Unafanya nini au umeumwa na kitu gani ,na wapi etc
2.itakukereketa na utaikumbuka Mara Kwa Mara na Kuna wakati itakunyima Amani.
3.kama ikijirudia basi jua Hilo jambo litakuja kutimizwa upesi..

Ni vyema ukatafsiri ndoto kibiblia au Kwa kitabu Cha Imani yako
ELEWA HAKUNA JAMBO LINAMPATA BINADAMU BILA KUJULISHWA KWA NDOTO etc.
 
Back
Top Bottom