Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Vijana mnapenda sana matusi. Arson ni kuchoma moto mali yeyote ya mtu, sio nyumba tu. Ukichoma moto nguo za mwenzako ni arson. Ukichoma moto baiskeli ya mwenzako, ni arson. Ukichoma moto pagala, ni arson. Ukichoma mazao ya mwenzio, ni arson.Unataka kutuambia kuwa adhabu ya makosa yote haya ni kifungo cha maisha?
Ninavyojua mimi kifungo cha maisha ni maximum sentence na sio mandatory. Kifungo hicho kinatolewa pale ambapo mtu amechoma moto nyumba akijua ndani kuna mtu au watu kwa lengo la kuwaua. Au mtu ana tabia ya kuchoma nyumba za wenzake. Au amechoma nyumba kama sehemu ya ugaidi. Vyote hivyo inaelekea havikuweko kwenye hii kesi, na adhabu imetolewa kumkomoa mtu ambae hata hakuhusika.
Kutetea kila kitendo cha uonezi kwa sababu ya ushabiki wa kisiasa ni upumbavu.
Amandla...
Mimi nilijibu kuhusu ukubwa wa adhabu, kama alichoma nyumba ama hakuchoma mimi sijui.
Ninachojua nikwamba ukichoma nyumba ya mtu adhabu yake ni ngumu.
Sasa kamaunasema hajahusika mimi sijui ni juuya walio shuhudia kutohusikakwake kukata rufaa na kudhibitisha ionezi,na kama kunauonezi bila shaka adhabu itatengiwa.