Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Huyu dogo soka lake halitafika mbali

Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman

Sasa Mbappe amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia

Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo

View attachment 2463520
Ulitaka atoke na wewe?umekosa kabisaaaaa chakuandika hapa Tz hasa changamoto za watz?
 
Wewe unatumia smartphone unashindwa kutafuta taarifa mwenyewe unakubali kudanganywa,

Huyo Ines ni Transsexual yaan amebadili jinsi yake kutoka Me kwenda Ke kwa kufanya surgery,

Wanazitumia hizo hizo ndude zake kuzibadili na kupatikana Uke wenye kiantena chake (videos zipo tele jinsi wanavyobadilishwa ila ni very expensive na very risk)

Huyo Ines ni mwanamke kamili mwenye Uke na Maziwa na alifanya upasuaji huo akiwa ana miaka 16 lakini hakujitangaza hadi alipofika miaka 24 kwa maana hiyo watu alio date nao kipindi chote hicho hawakujua kama Ines ni mbadili jinsia.
Ahsanteeeee umenisaidia kuwajuzaaaa. Waelezeee waeleweee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula transgender mbona sio ajabu mbele ata obama anakula transgender michelle na mambo yake ni [emoji91][emoji91][emoji91]halafu wewe sio mungu utashangaa mpabbe na dhambi zake ana shine uku wewe unateseka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa hata nyie mseme, maana wabongo umaskini umewajaa wanabaki kuhemkwa ktk maisha ya watu uwiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anabadili jinsiaa, wee c Dr lakini?? Na hujui hili mmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
- What has happened to common sense?.... Anabadili vip jinsia? With reasonable degree of medical certainity unaweza elezea hilo?

- Wewe ni mwanamke lakini umeshidwa kuelewa ni kitu gani kinakufanya uwe mwanamke, kupelekea kuamini kwamba mwanaume anaweza kua mwanamke.
 
Kijiwe cha story




Aseeee hii ndio jamii forums bana , kijiwe cha story , watu wanatililika kwa keyboards tuu kama story vile
 
- What has happened to common sense?.... Anabadili vip jinsia? With reasonable degree of medical certainity unaweza elezea hilo?

- Wewe ni mwanamke lakini umeshidwa kuelewa ni kitu gani kinakufanya uwe mwanamke, kupelekea kuamini kwamba mwanaume anaweza kua mwanamke.
Na mwanamke anaweza kuwa mwanaume pia. Vipi una jinginee??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom