Usiamini kila kinachoandikwa
Wapo wengi wametukanwa kama Jeena Ortega na John Ducey
Kwa kuwa amekuwa maarufu sana duniani na ana wafuasi zaidi ya 90m
Ni uongo na huyo dume/jike wanasema kafanana na demu wake ambae hajaonekana nae tena baada ya rumors hizo
Hata yule wa kwanza alikuwa hajionyeshi kihivyo
Nimesoma mitandaoni kama hizi Habari ni kweli nikapata mawili matatu
Ni wivu na kutaka kuuza Habari tu maana siku hizi kutengeneza hela mitandaoni ni rahisi sana kwa wanoko, na waswahili wakidaka tu umekwisha hawachunguzi
View attachment 2463676