Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Usiamini kila kinachoandikwa
Wapo wengi wametukanwa kama Jeena Ortega na John Ducey
Kwa kuwa amekuwa maarufu sana duniani na ana wafuasi zaidi ya 90m

Ni uongo na huyo dume/jike wanasema kafanana na demu wake ambae hajaonekana nae tena baada ya rumors hizo

Hata yule wa kwanza alikuwa hajionyeshi kihivyo
Nimesoma mitandaoni kama hizi Habari ni kweli nikapata mawili matatu

Ni wivu na kutaka kuuza Habari tu maana siku hizi kutengeneza hela mitandaoni ni rahisi sana kwa wanoko, na waswahili wakidaka tu umekwisha hawachunguzi
View attachment 2463676
Watu wa upinde mmefka
 
Kuna watupori humu ni wabishi balaa, mtu anaelekezwa kua inawezekana kwani kitu kikiwezekana kufanyika ndio basi unakua unasapoti? Yaan wanataka wote humu tupingane na ukweli kisa tu tuonekane hatusapoti hayo mambo,

Huyo Ines licha ya kufanya hivyo alivyofanya anasaidia jamii balaa nimemfatilia Insta hadi nimempenda, lakini watu wanajifanya kumuhukumu humu ilhali akipita omba omba wanasikia kichefu chefu, wanadhulumu yatima na kutesa wajane, sipati kusema huko kupishana kwa waganga sasa.
Achana na hao walalahoi my Queen,
Watu wana stress sana hasa kipindi hiki cha sikukuu 😄😄
 
Back
Top Bottom