Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Unakatwa huo uume kiutaalmu na wanaugeza kuwa uke,nenda Youtube kaangalie mbona procedure nzima imeonyeshwa
Kuna watupori humu ni wabishi balaa, mtu anaelekezwa kua inawezekana kwani kitu kikiwezekana kufanyika ndio basi unakua unasapoti? Yaan wanataka wote humu tupingane na ukweli kisa tu tuonekane hatusapoti hayo mambo,

Huyo Ines licha ya kufanya hivyo alivyofanya anasaidia jamii balaa nimemfatilia Insta hadi nimempenda, lakini watu wanajifanya kumuhukumu humu ilhali akipita omba omba wanasikia kichefu chefu, wanadhulumu yatima na kutesa wajane, sipati kusema huko kupishana kwa waganga sasa.
 
Kuna watupori humu ni wabishi balaa, mtu anaelekezwa kua inawezekana kwani kitu kikiwezekana kufanyika ndio basi unakua unasapoti? Yaan wanataka wote humu tupingane na ukweli kisa tu tuonekane hatusapoti hayo mambo,

Huyo Ines licha ya kufanya hivyo alivyofanya anasaidia jamii balaa nimemfatilia Insta hadi nimempenda, lakini watu wanajifanya kumuhukumu humu ilhali akipita omba omba wanasikia kichefu chefu, wanadhulumu yatima na kutesa wajane, sipati kusema huko kupishana kwa waganga sasa.
Kuna watupori humu ni wabishi balaa, mtu anaelekezwa kua inawezekana kwani kitu kikiwezekana kufanyika ndio basi unakua unasapoti? Yaan wanataka wote humu tupingane na ukweli kisa tu tuonekane hatusapoti hayo mambo,

Huyo Ines licha ya kufanya hivyo alivyofanya anasaidia jamii balaa nimemfatilia Insta hadi nimempenda, lakini watu wanajifanya kumuhukumu humu ilhali akipita omba omba wanasikia kichefu chefu, wanadhulumu yatima na kutesa wajane, sipati kusema huko kupishana kwa waganga sasa.
wee utakua unafukuliwa mitalo.unatetea balaa🤣
 
Back
Top Bottom