HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Ulitaka atoke na wewe?umekosa kabisaaaaa chakuandika hapa Tz hasa changamoto za watz?Huyu dogo soka lake halitafika mbali
Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman
Sasa Mbappe amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia
Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo
View attachment 2463520
Ahsanteeeee umenisaidia kuwajuzaaaa. Waelezeee waeleweee.Wewe unatumia smartphone unashindwa kutafuta taarifa mwenyewe unakubali kudanganywa,
Huyo Ines ni Transsexual yaan amebadili jinsi yake kutoka Me kwenda Ke kwa kufanya surgery,
Wanazitumia hizo hizo ndude zake kuzibadili na kupatikana Uke wenye kiantena chake (videos zipo tele jinsi wanavyobadilishwa ila ni very expensive na very risk)
Huyo Ines ni mwanamke kamili mwenye Uke na Maziwa na alifanya upasuaji huo akiwa ana miaka 16 lakini hakujitangaza hadi alipofika miaka 24 kwa maana hiyo watu alio date nao kipindi chote hicho hawakujua kama Ines ni mbadili jinsia.
Wee muongo acha fix, khaaaaah.Transgender ni gay au lesbian aliyeenda extra mile... hapo wanakata penis wanaweka tundu feki, sex anafanya kama gays wenzake wanavyofanya. Dunia tambala bovu
Fix gani?
Anabadili jinsiaa, wee c Dr lakini?? Na hujui hili mmmhNaomba kuelimishwa kuhusu kuswitch jinsia.
Anabadili kabisa viungo(mjegeje) au anajitangaza kuwa yeye ni ke ili atambulike hivyo?
Transgender wanabadili jinsia, ila ni gharamaa sanaaa. Na risk pia.Shemales hawana papuchi wanapakuliwa speaker na kupakua gays na maslayqueen.
Shemales ni tomboy .
Shemales ni dabo agent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear unajipa kazi kuwa elewesha hawa, achana nao.Kwa kua unaupenda ushoga ndio maana unaona kila mtu ni shoga sasa tunakujibu kua Ines ni Mwanamke na Mbappe ni Mwanaume
Wabongo kwa unafiki Dunia nzima Tuzo wanachukua wao. LolMnajifanyaga kuchukua mashoga hadharani ilihali kifichoni mnawala,..
Unafiki kiwango Cha lami
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga na Kiazi ni shangazi zako na bibi zako,
Shenzi zako
My babeeeee [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Achana na hao walalahoi my Queen,
Watu wana stress sana hasa kipindi hiki cha sikukuu [emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa hata nyie mseme, maana wabongo umaskini umewajaa wanabaki kuhemkwa ktk maisha ya watu uwiiiiihKula transgender mbona sio ajabu mbele ata obama anakula transgender michelle na mambo yake ni [emoji91][emoji91][emoji91]halafu wewe sio mungu utashangaa mpabbe na dhambi zake ana shine uku wewe unateseka
- What has happened to common sense?.... Anabadili vip jinsia? With reasonable degree of medical certainity unaweza elezea hilo?
Na mwanamke anaweza kuwa mwanaume pia. Vipi una jinginee??- What has happened to common sense?.... Anabadili vip jinsia? With reasonable degree of medical certainity unaweza elezea hilo?
- Wewe ni mwanamke lakini umeshidwa kuelewa ni kitu gani kinakufanya uwe mwanamke, kupelekea kuamini kwamba mwanaume anaweza kua mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh na roboooo. UwiiiiihEmbu subiri, huyu huyu mbape wetu? Huyu huyu mbape ambae hamisa ashaanza mtolea udenda? Lile pompolimpo lake hawezi lifanyia ujinga.
Transgender mkuu ni kitu gani?Ines Rau, ndio mpenzi wake kwa sasa!
Huyu ni transgender!
Ama kweli " Kwenye ulimwengu wa wajinga, wajinga pekee ndio wenye akili" hahahaha