Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Ulitaka atoke na wewe?umekosa kabisaaaaa chakuandika hapa Tz hasa changamoto za watz?
 
Ahsanteeeee umenisaidia kuwajuzaaaa. Waelezeee waeleweee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula transgender mbona sio ajabu mbele ata obama anakula transgender michelle na mambo yake ni [emoji91][emoji91][emoji91]halafu wewe sio mungu utashangaa mpabbe na dhambi zake ana shine uku wewe unateseka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa hata nyie mseme, maana wabongo umaskini umewajaa wanabaki kuhemkwa ktk maisha ya watu uwiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anabadili jinsiaa, wee c Dr lakini?? Na hujui hili mmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
- What has happened to common sense?.... Anabadili vip jinsia? With reasonable degree of medical certainity unaweza elezea hilo?

- Wewe ni mwanamke lakini umeshidwa kuelewa ni kitu gani kinakufanya uwe mwanamke, kupelekea kuamini kwamba mwanaume anaweza kua mwanamke.
 
Kijiwe cha story




Aseeee hii ndio jamii forums bana , kijiwe cha story , watu wanatililika kwa keyboards tuu kama story vile
 
Na mwanamke anaweza kuwa mwanaume pia. Vipi una jinginee??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…