Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Sasa kama ana hela kiasi cha kubadili jinsia atakosaje za kusaidia watu for 'public reasons?'
Wanaosaidia kutoka moyoni hawana haja ya ku post insta. Tuache kuwa easily manipulated
 
[emoji1680][emoji1680][emoji1680]
 
Swali lako linafikirisha mkuu. Nani wanawala hawa ndugu?
 
Hivyo zile picha akiwa naye ni za uongo
 
Kwa kubagua dhambi wabongo huwawezi....yaani mtu anamlaani mbappe huku yeye mwenyewe ni mzinifu..
Imagine mtu yupo mbagala maji matitu huko uswekeni anaoga maji ya chumvi eti anakuja hapa anamlaani mbappe....
Halafu anavimba kabisa eti huyu dogo soka lake halitafika mbali anamzungumzia mtu anayepokea B kwa wiki hali ya kua yeye amemzidi umri huyo dogo ila bado anakula ugali wa shikamoo kwa bibi ake
 

Kwa hiyo wanawake na wanaume matasa nao ni mashoga kisa hawazaliani?

Fungua akili yako acha kukariri sana,

Nakupa homework, nenda kasome masuala ya Sexuality na Gender Identity,

Ukishaipata hiyo elimu wafundishe na wengine usirudi kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…