[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu anavimba kabisa eti huyu dogo soka lake halitafika mbali anamzungumzia mtu anayepokea B kwa wiki hali ya kua yeye amemzidi umri huyo dogo ila bado anakula ugali wa shikamoo kwa bibi ake
Kwa kweli.Acha tuwaelekeze tu maana tukiwaacha watazidi kupotosha na wengine dear
We acha wanaume ukiwakuta wanavyopinga ushoga utajiuliza hawa mashoga wanaoibuka mitaani wanaliwa na Nani.?
Halafu ukiwapa fact tu wanakwambia ww unasapoti...
Kati ya Mimi mwanamke ambaye natetea haki yao ya kuishi hadharani na wao wanajifanya kupinga hadharani na kuwala kimya kimya Nani anasapoti ushoga.
Nauliza tu ndugu zangu WANAUME nayelala na hawa mashoga Nani mbona nyote mnawalaani Sana?
Au sie WANAWAKE?
Kwa kubagua dhambi wabongo huwawezi....yaani mtu anamlaani mbappe huku yeye mwenyewe ni mzinifu..
Imagine mtu yupo mbagala maji matitu huko uswekeni anaoga maji ya chumvi eti anakuja hapa anamlaani mbappe....
Shangaa Nawewe 🤣🤣🤣🤣!laana sana mrembo.ameshindwa kuwaona mlivyo kuwa mnamshabikia😅😅
Sasa unampangia mtu maamuzi yake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibailojia unakuwa unampiga mashine mwanaume mwenzako. We mademu wote wakali waliopo kwenye date pool uanze kuvutana na mwanaume aliyebadili jinsia.
Yeye ndo alikua top. Huyo trans alikua bottom. Acha ku force vitu ewe mshabiki wa Messe
Inasemekana na wewe. Not otherwise
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahDaah nimeangalia YouTube jinsi hizi surgery zinavyofanyika aseee Huyu daktari ni mturuki ! Sijui ni pesa ngapi hawa washikaji wanalipa itakua gharama sana na ni risk pia maana hizo nyama zinavyochambuliwa na Madktari hawabahatishi wako serious na kazi na ukikutana na mwanaume aliyebadilisha jinsia huwezi kumjua labda akuambie !!! Na wabongo tulivyo na uchu !!
Kwa kweli hii dunia kiganjani
BromanceNaanza kupata wasiwasi na urafiki wa hawa jamaaView attachment 2463498
Hivyo zile picha akiwa naye ni za uongo
Wasichana sio chaguo lake, yeye anafuata hisia zake, hafuati hisia zako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndio nilipomchukia. Amepoteza mashabiki wengi ksbb ya kuiga huo ukenge.
Mtu ishi kiafrica halisi. Mambo mengine acha yapite. Kuna haja gani kwa mtu ana pesa kama yeye ya kudokoa dume,unaacha wasichana wengi tu wamejaa wazuri sana.
Mpenzi wake wa kike anaitwa emma alimkimbia baada ya kuona mbape anatabia za kichokoHapo ndio nilipomchukia. Amepoteza mashabiki wengi ksbb ya kuiga huo ukenge.
Mtu ishi kiafrica halisi. Mambo mengine acha yapite. Kuna haja gani kwa mtu ana pesa kama yeye ya kudokoa dume,unaacha wasichana wengi tu wamejaa wazuri sana.
Acha kupotosha wewe transgender ni shoga la kiume liloamua kujipamba kike ataishia kuotesha nyonyo na hips ila dushe liko pale pale.Kwa kua unaupenda ushoga ndio maana unaona kila mtu ni shoga sasa tunakujibu kua Ines ni Mwanamke na Mbappe ni Mwanaume
Wakati anazaa hao watoto ulikuwepo mzee??
Lol Vijana wana hatari sana!! Wanawake wote hawa kweli??????!!![emoji15][emoji848][emoji848]
Unaweza kukuta hata baba ako shoga,Kaka humu mashoga wengi inavoonekana achana nao tu maana anasema hiki baadae anageuka anasema kile na hoja mufilisi.Kifupi Mbappe anakula mwanaume mwenzie so hana tafaut na shoga
Happy new year Culture MeAcha ushamba dogo, kwani huwezi kuchangia bila kumuattack mtu? Mnaharibu mada za Watu
Nimegusa chama lenu la kishetani,nisamehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewapiga penyewee, hasa wakikataliwa wanakua bitter sanaa lol.Unaweza kukuta hata baba ako shoga,
Ushoga sio jambo la kushangaza yaani mimi uniite shoga, msagaji na mijineno yote unadhani nitaumia?? Zaidi nakushangaa mlivyo busy kufatilia habari za mashoga na ushoga badala ya kutafuta pesa,
Tafiti isiyo na shaka kabisa inasema ukiona mtu anafatilia sana kitu ujue anakipenda na ukiona anakipinga sanaa huku anakifatilia ujue anakifanya,
Tunaona hata humu wanaoleta mada za ushoga ni wale na wanaojitia kupinga ni wale wale na wanaofata watu pm ni wale wale, [emoji1787]
Tanzania yangu nakupenda sana