Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeee sasa ana mpangia Mbappe utadhan wanakutanaga pale Temeke uwanja wa Taifa, kumbe huyo mbappe hata hajui km kuna binadamu yuko vikindu anampangia life,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Walalahoi wa Buza wamekasirishwa na Mbappe, kwanza amewateka manzi zao kihisia na bado anamkula mrembo transgender 😂 pili kawazidi muonekano hadi pesa daah kwa mbaaali nawaelewa makasiriko yanatoka wapi 🤭😃
 
Ni mimi tena ndio naumia sio nyie mlomuanzishia uzi na mapovu kama yote [emoji1787][emoji1787]

Umaskini mbaya jamani mtu anaropoka kama kalishwa kinyesi kibichi,

Mbappe awe shoga, awe msagaji awe mbadili jinsia ndio kishatoboa huyo at the age of 23, endelea kuparamia madaladala na kugombana na madereva wamekupitiliza kituo sio mwenzio huyoooooooooo[emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo kama sio mwenzangu eti ameshatoboa ndo akiwa shoga ndo tumtetee tukisema ukweli eti wivu akili za kiswazi hizi
 
Walalahoi wa Buza wamekasirishwa na Mbappe, kwanza amewateka manzi zao kihisia na bado anamkula mrembo transgender [emoji23] pili kawazidi muonekano hadi pesa daah kwa mbaaali nawaelewa makasiriko yanatoka wapi [emoji2960][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nachoshangaa wanaotokwa povu n wanaume, ilibidi wanawake ndo wahemkwe kwann kawaacha wao kamfata trans, cha ajabu madume uchwara ndo wanapovukwa sijui wanataaka mbappe awaparase wao, khaaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walalahoi wa Buza wamekasirishwa na Mbappe, kwanza amewateka manzi zao kihisia na bado anamkula mrembo transgender [emoji23] pili kawazidi muonekano hadi pesa daah kwa mbaaali nawaelewa makasiriko yanatoka wapi [emoji2960][emoji2]
Wameumizwa kihisia, wanajaribu kutafuta kasoro lakini hazina mashiko kuna kengine kanasema eti amepoteza mashabiki ukiuliza wa wapi katasema wa mbagala maji matitu [emoji28]
 
Sasa Kwan mtu unavutiwa Kwa sababu ya jinsia au muonekano na tabia ambayo inaonyesha jinsia flani,huwez ukamlaani mbape wakati kunamtu anamwingilia mwanamke halisi kinyume na maumbile alafu anaona yeye Yuko sahihi,mbape pale ni unaeza kukuta alipiga naye picha Tu c unajua mambo ya kistaa
So unataka kusemaje shekhe bila shaka sijakuelewa
 
Kwa hiyo kama sio mwenzangu eti ameshatoboa ndo akiwa shoga ndo tumtetee tukisema ukweli eti wivu akili za kiswazi hizi
Alikwambia anahitaji kutetewa??
Umtetee wewe kama nani mwenzio ana mwanasheria wake na anamlipa pesa ndefu,

Unashupaza shingo kwa kijana aliyeshinda world cup akiwa ana miaka 19 tu, unashupaza shingo kwa kijana aliyefunga hattrick kwenye world cup na kuifikisha timu yake final na bado ameshinda kiatu cha dhahabu, [emoji2]

Sikia we mzee usikubali kuzeeka vibaya chukua mbegu za bamia ukapande hata uwani uwe busy kuliko kuvuja jasho kwa mtu asiyekujua.
 
Hata akiwa shoga so what!
Amekuzidi umaarufu,
Amekuzidi pesa,
Amekuzidi mshedede,
Ulichomzidi ni umri na shida [emoji1787]
Amemzidi umri na shida 😂😂
Nyie wanawake Queen na Coca hebu acheni mnanimaliza mbavu zangu,
Naomba muwasamehe
 
Wee hili povu lako lote la nn? Mbappe ndo ana amua awe na nan na aweje, wee pambana na ashura mchachuko wako wa mikoroshini, usituletee ngebe zako, vipi kwanza umekunywa chai?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa...! Mpe hi mwajuma ndala ndefu huko uliko na uzoefu nako
 
Jamani Mpapeeee wangu
Piga ball fanya maisha yanayokupa furaha
Dunia Haina jema
Love yuuu Mpape
 
Hizo picha hapo unazoona wakiwa ufukweni unazielezeaje?!
Kwa hiyo watu kubebana wakiwa ufukweni tayari ni wapenzi wakati ushaambiwa huyo mwanamke ana partner wake kuanzia mwaka 2015 hadi sasa meaning yupo kwenye public relationship,

Acha kukaza fuvu kubali yaishe tugange yajayo
 
Back
Top Bottom