Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Sasa mtu si anakuwa anajulikana. Mfano wewe utake kuoa mwanamke hivi inawezekana kweli usijue personal details zake kama alishawahi kuwa na nani, alishatoa ujauzito, alishafanya scandals ipi na ipi.

Sasa huyu aliyedate nae ni mwanamitindo na inajulikana kuwa alifanya gender transformation yaani kujibadili jinsia. Na inajulikana hata ukienda mitandaoni inajulikana so its a choice haikuwa bahati mbaya.

Na kilichofanya wazinguane ni kwasababu jamaa baada ya kufanya vizuri kombe la Dunia wadada wengi wakawa interested kumjua ndio personal details zake zikaanza kusambaa.

Mbappe hajadate na Ines,

Ines ana mchumba wake wa miaka mingi


Fatilia kwanza habari
Screenshot_20221231-072420_Google.jpg
 

Attachments

  • original.jpg
    original.jpg
    25.3 KB · Views: 2
Hawezi kuwa mwanamke Kamili hata iwaje. Huyo ni biologically male hadi anazeeka. Kwasababu vinasaba vyake ni vya kiume ingawa ameshatoa sehemu ya via vya uzazi kama korodani na misuli na nyama za uume lakini DNA yake inamsoma kama XY chromosome being.

Huyu ni mwanaume na yoyote anaelala nae anajua kuwa anashiriki na mwanaume mwenzake.
Nakazia
 
Mbappe hajadate na Ines,

Ines ana mchumba wake wa miaka mingi


Fatilia kwanza habari
View attachment 2464044
Sijakuelewa. Hawajadate so hii scandal inahusiana na nini maana hapa tunajadili scandal ya mbappe kutoka kimahusiano na huyo transexual wewe unasema mbappe hajadate na Ines, so nini kimetokea can u make it make sense?!
 
Sijakuelewa. Hawajadate so hii scandal inahusiana na nini maana hapa tunajadili scandal ya mbappe kutoka kimahusiano na huyo transexual wewe unasema mbappe hajadate na Ines, so nini kimetokea can u make it make sense?!
Ni uzushi kama uzushi mwingine na watu tukauchukua huo uzushi kama ulivyo na kuanza kutokwa mapovu
 
Sijakuelewa. Hawajadate so hii scandal inahusiana na nini maana hapa tunajadili scandal ya mbappe kutoka kimahusiano na huyo transexual wewe unasema mbappe hajadate na Ines, so nini kimetokea can u make it make sense?!
Kaka humu mashoga wengi inavoonekana achana nao tu maana anasema hiki baadae anageuka anasema kile na hoja mufilisi.Kifupi Mbappe anakula mwanaume mwenzie so hana tafaut na shoga
 
Sasa Kwan mtu unavutiwa Kwa sababu ya jinsia au muonekano na tabia ambayo inaonyesha jinsia flani,huwez ukamlaani mbape wakati kunamtu anamwingilia mwanamke halisi kinyume na maumbile alafu anaona yeye Yuko sahihi,mbape pale ni unaeza kukuta alipiga naye picha Tu c unajua mambo ya kistaa
 
Daah nimeangalia YouTube jinsi hizi surgery zinavyofanyika aseee Huyu daktari ni mturuki ! Sijui ni pesa ngapi hawa washikaji wanalipa itakua gharama sana na ni risk pia maana hizo nyama zinavyochambuliwa na Madktari hawabahatishi wako serious na kazi na ukikutana na mwanaume aliyebadilisha jinsia huwezi kumjua labda akuambie !!! Na wabongo tulivyo na uchu !!
Kwa kweli hii dunia kiganjani
 
Mbna Hana tako au
Huyu dogo soka lake halitafika mbali

Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman

Sasa Mbappe amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia

Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo

View attachment 2463520
ujinga wa kupenda matako Ni bongo tu
 
Hakuna gender transformation ya female to male iliyofanikiwa kuweka penis. Kuna ujinga ujinga huwa wanafanya wa kukata nyama za upaja na mikono na kutengeneza likitu la ajabu kama soseji ambalo huwa wanalishonea katika sehemu za siri za mwanamke ili kuweka muonekano wa uume but huwa hauna kazi zaidi ya kupitisha mkojo.

Ukiona picha unaweza kutapika na kujiuliza hivi hawa wazungu vichaa vyao vinawapeleka wapi.
Kweli kaka , hata makende ni nyama nyama tu zinaunganishwa wanatengeneza shape tu !! Aseee tulikofikia hii sayari sio kawaida
 
Kuna watu kupingana kwa hoja hamuwezi..
Hapa ni jf Home of great thinkers.
Huu uswahili peleka Facebook ndio Kuna wenzio wenye mihemko ya matusi
wee km unajifanya muelewa sana?unataka nilete hoja kwenye mjadala waushoga?hapa nimwendo waspana tuu.hutaki lala mbele nyie ndio wasagaji ee?marafiki zenu nihawa mashoga?
 
We acha wanaume ukiwakuta wanavyopinga ushoga utajiuliza hawa mashoga wanaoibuka mitaani wanaliwa na Nani.?
Halafu ukiwapa fact tu wanakwambia ww unasapoti...
Kati ya Mimi mwanamke ambaye natetea haki yao ya kuishi hadharani na wao wanajifanya kupinga hadharani na kuwala kimya kimya Nani anasapoti ushoga.
Nauliza tu ndugu zangu WANAUME nayelala na hawa mashoga Nani mbona nyote mnawalaani Sana?
Au sie WANAWAKE?
wee kiazi mbatata kwani ukisikia neno shoga unahisi nini?Kama hujui nihivi..anaefanya na kufanywa wote nimashoga.sasa wewe unatetea hakizao ili iweje?shetan wee🤨
 
Lol Vijana wana hatari sana!! Wanawake wote hawa kweli??????!!!😳🤔🤔
 
Back
Top Bottom