Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Nimewaangalia hawa vijana na kuona wanafanana kwa vitu vingi, hawa ndio walinganishwe pamoja. Sio sahihi kumlinganisha Mbappe na mentor wake pale PSG (ambaye ndio mfalme wa football) au yule mzee asiyekuwa na timu.

Hawa madogo wote ni mafowadi wanaocheza pembeni na hata katikati inapobidi, wako kati ya miaka 20 na 23 na wote wana mpira wa kasi. Kila mmoja ameshabeba angalau kombe moja kwenye klabu yake.
 
Nimewaangalia hawa vijana na kuona wanafanana kwa vitu vingi, hawa ndio walinganishwe pamoja. Sio sahihi kumlinganisha Mbappe na mentor wake pale PSG (ambaye ndio mfalme wa football) au yule mzee asiyekuwa na timu.

Hawa madogo wote ni mafowadi wanaocheza pembeni na hata katikati inapobidi, wako kati ya miaka 20 na 23 na wote wana mpira wa kasi. Kila mmoja ameshabeba angalau kombe moja kwenye klabu yake.
Na haaland ndo wale wale tu
 
Nimewaangalia hawa vijana na kuona wanafanana kwa vitu vingi, hawa ndio walinganishwe pamoja. Sio sahihi kumlinganisha Mbappe na mentor wake pale PSG (ambaye ndio mfalme wa football) au yule mzee asiyekuwa na timu.

Hawa madogo wote ni mafowadi wanaocheza pembeni na hata katikati inapobidi, wako kati ya miaka 20 na 23 na wote wana mpira wa kasi. Kila mmoja ameshabeba angalau kombe moja kwenye klabu yake.
Daah...! Vinicious Jr kile kifaa kingine kile yule dogo atafika mbali sana. Ni vile kwenye soka kuna ubaguzi. Lakini yule dogo ni hatari
 
Ukiona Hadi wazee kina Ronie 7, Messi kina Modric wanatamba mbele ya vijana kwenye mashindano tofauti ... Jua daraja la vijana wa Sasa Ni la chini mno
Na quality Yao ni yakutilia mashaka..... Mbappe ajichanganye mwenyewe tu ila njia nyeupee kwake.
 
Mbappe ni mchezaji mzuri level zake ni vinicious jr na neymar hafai kufananishwa na messi au Cr7

mbappe kapata air time kubwa africa kutokana na nchi nyingi za africa zilitaka france ishinde kutokana na uhusiano wa rangi (black ) sawa na sisi
 
Daah...! Vinicious Jr kile kifaa kingine kile yule dogo atafika mbali sana. Ni vile kwenye soka kuna ubaguzi. Lakini yule dogo ni hatari
Ubaguzi gani uliomzuia nani? Kama Eusebio na Pele waliweza kufanya yale enzi zile mtu mweusi akiwa haruhusiwi kukaa chumba kimoja na mzungu, ni kipi kitamzuia Vini miaka ya sasa
 
Back
Top Bottom