Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Mtoa mada usirudi Tena siku nyingine kumfananisha Mbappe na vitu vya ajabu Kama Bukayo Saka na Vinny, Mbappe anawazidi viwango kwa mbali Sana.
 
Siyo huyo tuu , kuna wengi tuu wamewazidi Messi na Cr Kwa takwimu za umri huo , tunachoangalia ni consistency , tunamuombea aendelee hvyo hvyo mpak umri walio nao hao wazee ... Kwa umri huo huo Messi na Ronaldo tayar walikuwa na Balon d'Or, Mbape Hana, na waliondelea kuzikusanya Kwa Kasi , lakin pia Messi akiwa tayar ana mchezaji Bora under 20 , aliyoichukua na umri wa 16 yrs ,....

Unaweza kuwa umefunga magori mengi lakini yakawa hayana impact sababu ya ligi na club uliyopo , kiufupi Tu ni kuwa Mbape yupo sehemu nzuri tatizo ni hyo club aliyopo, Kwa sasa ili utoboe unatakiwa uwe na club ambayo ina uwezo wa kuchukua champion league back to back , hapo tuzo utaziokota Sana , Mbape club aliyopo ni miyeyusho kinachombeba ni timu ya Taifa wapo vizur Sana
Wakati Messi anaenda kuzeekea PSG(farmers league ) na kuchukua kiinua mgongo, Mbape yeye ameamua kukaa hapo ili ang'are. What a waste of talent.

Mbape yuko vizuri ila nina wasiwasi na consistency yake miaka 5 ijayo. Genetically sidhani kama atamudu. Ukimwangalia vizuri Messi na Mbape kwa sura tu utaona kama wamepishana miaka 2 kumbe ni 11. Hii itamtoa kwenye system muda sio mrefu
 
Huyo dogo sijui kawapa nini mbona anaongelewa sana? Kila siku hapa lazima aanzishiwe uzi.
Wanaogopa rekodi za mchezaji wao midevu zitavunjwa kwanza 2026 anaenda kuwa top score wa mda wote wa kombe la Dunia wakati midevu wao hajawah kabisa kufikia rekodi hiyo pili dogo kashakuwa mfungaji Bora wa kombe la Dunia wakati midevu kweupe ishu ya champions league,Tuzo za France magazine dogo Ata zibeba sana ngoja atue bernabeu
 
Nimemuangalia Mbappe na uchezaji wake sioni ukitofautiana sana na WA Christopher Nkunku
 
Back
Top Bottom