Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
No offense lakini UEFA>>WCMbappe ana Fifa world cup (kombe kubwa duniani)ana top scorer ya world cup
Huwezi kulinganisjha uwezo wa timu za taifa na clubs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No offense lakini UEFA>>WCMbappe ana Fifa world cup (kombe kubwa duniani)ana top scorer ya world cup
Unadhani hat trick kwenye fainali ya world cup ni mchezo?Huyo dogo sijui kawapa nini mbona anaongelewa sana? Kila siku hapa lazima aanzishiwe uzi.
Saana tena saana, jamaa mzuri mno hasa ktk man to man.Daah...! Vinicious Jr kile kifaa kingine kile yule dogo atafika mbali sana. Ni vile kwenye soka kuna ubaguzi. Lakini yule dogo ni hatari
Ni kweli, Mbappe ana nafasi ya kusonga mbele zaid.Ukiona Hadi wazee kina Ronie 7, Messi kina Modric wanatamba mbele ya vijana kwenye mashindano tofauti ... Jua daraja la vijana wa Sasa Ni la chini mno
Na quality Yao ni yakutilia mashaka..... Mbappe ajichanganye mwenyewe tu ila njia nyeupee kwake.
Vini anacheza Madrid ambayo miaka 10 imeshinda UEFA zaidi ya mara 4 mbappe amewapa makombe France ambayo mara ya mwsho hukumbuki walitwaa liniNo offense lakini UEFA>>WC
Huwezi kulinganisjha uwezo wa timu za taifa na clubs
Mpaka Haaland??Vini anacheza Madrid ambayo miaka 10 imeshinda UEFA zaidi ya mara 4 mbappe amewapa makombe France ambayo mara ya mwsho hukumbuki walitwaa lini
Vini ni mtu sana ila kwa mpaka sasa Mbappe ukiondoa class ya kina Messi Ronaldo na Generation yao Mbappe ndo Goat wa kina rashford vini foden na wengineo
Pamoja na kwamba Madrid ndio timu yangu ninayoikubali,lakini huyu Vin Ndio mchezaji ninaemkubali zaidi mimi kwa sasa duniani. Utafurahi kushuhudia shughuri,vyenga,speed,magoli yake uwanjani. Vin ni kifaa na anajiamini hatari. Ana mpira halisi wa kibrazir.Saana tena saana, jamaa mzuri mno hasa ktk man to man.
Nadhani umeongelea magoli hapa na kama ni magoli no doubtMpaka Haaland??
Subiri mjukuu wangu.
Time will tell
Haland is >>> 2 mbappes
Mbape ni Mchezaji mzuri mno.
Ni mchezaji wa Tatu kwa Ubora.
Kwa mujibu wa Utafiti wangu.
Upo Hivi
1. Messi.
2.Ronaldo.
3. Mbape.
Kitu ambacho umekiacha kwa makusudi ni kuwa messi alipata ballon d'Or akiwa na age ya 22
NINAANDIKA KWA HERUFI KUBWA.
WEKENI TAKWIMU ZA HAO AKINA MESSI NA CR7 WALIPOKUWA NA MIAKA 23 KISHA LINGANISHA MA MBAPPE HAPO UTAPATA NANI BORA.
"
Lionel Messi at 23yrs
Matches – 269
Goals – 181
Assists – 82
International Caps – 57
International Goals – 17
Kylian Mbappe
Matches – 303
Goals – 222
Assists – 129
International Caps – 66
International Goals – 36"
Cr7 at 23yrs alikuwa na goals chini ya 90
MBAPPE AMEWAFUNIKA WOTE KWA TAKWIMU NDIO MAANA MNAMCHUKIA KWA KUONA HANA LOLOTE WAKATI MIOYONI MNAMHUSUDU
Kumbe hamjaelewa. Sijamaanisha hawezi kucheza. Kipaji chako chako cha mpira ndio maana nimezingumzia kujituma kwako kunakufikisha mbali na muhimu pia nimesema wanafundishwa kuipuuza mengine,wazingatie soka tu lililowaleta.
Lakini kuna mambo mengi ya kukatisha tamaa kwa weusi. Mfano Samwel Etto kuna kipindi kabisa ilikuwa awe mchezaji bora wa dunia. Lakini zikafanyika vya kufanyika akapigwa chini. Sababu kubwa,inaeleweka.
Sasa vitu kama hivyo kile unachostahiri kabisa kwenye soka lako hupewi. Kama hujafundishwa kupuuza kama hayo kwa mwenye roho nyepesi,ile kufikiria tu wengine wanaenda mbali ktk kufikiria inaweza kukushushia ufanisi wako. Huo ni mfano tu,lakini vipo vitu vidogo vidogo weusi wanavyokumbana navyo. Kama mchezaji ana roho nyepesi anaweza kupigana iwe ndani ya uwanja au nje ya uwanja.
Nadhani umeongelea magoli hapa na kama ni magoli no doubt
Ukiongelea technical abilities na aspect nyingine za mpira Haaland can't go toe to Toe hata na Alvarez
Haaland ni kama Lewandowski (man is proper CF) ila sio complete player kama alvarez achana na mbappe tu
Ni kweliNi kweli, Mbappe ana nafasi ya kusonga mbele zaid.
Mbona CR7 wanamlinganisha na Messi kama Magoli sio big issue.Nadhani umeongelea magoli hapa na kama ni magoli no doubt
Ukiongelea technical abilities na aspect nyingine za mpira Haaland can't go toe to Toe hata na Alvarez
Haaland ni kama Lewandowski (man is proper CF) ila sio complete player kama alvarez achana na mbappe tu
Kwanini? Watu hawataki kuona changamoto mpya? Mbappe ni wa kukuzwa na kuwa promoted, Utani utani wanaweza anza kufanya ibada na kuabudu messi.Speed ya Mbappe inawatisha sana mazombi wa Messi, kwa kweli anawakosesha usingizi.
Mbona CR7 wanamlinganisha na Messi kama Magoli sio big issue.
The whole point ya kucheza football ni kufunga, So afungae ndiye
Kama unafikiri attribute ya kufunga tu ndo inamfanya CR7 alinganishwe na Messi kwanini Lewandowski hajalinganishwa na messi?Mbona CR7 wanamlinganisha na Messi kama Magoli sio big issue.
The whole point ya kucheza football ni kufunga, So afungae ndiye bora.
Aah c'mon bro, Lewandoski ana magoli mangapi, Na ronaldo ana magoli mangapi?Kama unafikiri attribute ya kufunga tu ndo inamfanya CR7 alinganishwe na Messi kwanini Lewandowski hajalinganishwa na messi?
Okay Neymar kwa nini anakaa chini ya hao na sio lewa?Aah c'mon bro, Lewandoski ana magoli mangapi, Na ronaldo ana magoli mangapi?