Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Si tumekubaliana wakitoka hao ni Mbappe au?Okay Neymar kwa nini anakaa chini ya hao na sio lewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tumekubaliana wakitoka hao ni Mbappe au?Okay Neymar kwa nini anakaa chini ya hao na sio lewa?
Kwakweli wanamuonea tuMtoto hajui harufu ya UEFA
Ana miaka 24 tuMbappe has a potential to win it all like Messi. So still hajafikia level hiyo lakini anaweza kufikia huko.
Form is temporary CLASS is permanent.Upo sawa..
lakin wakat wa kumfananisha Mbape na Cr7/Messi haujafika.
Ana safari ya kupprove hilo, labda akifika mkuu
Messi kaanza ingia kikosi Cha Cha Barca ana miaka 19 usilete unazi hapa.achana na hizi takwimu, hivi uliwahi kumshuhudia messi uwanjani at 20yrs...........??,
overall play ya Messi ilikua balaa, kijana alikua anacheza kama amesetiwa, utadhani play station
Soon,real madridMpaka ahame timu
Njr wangu yukwapMbape ni Mchezaji mzuri mno.
Ni mchezaji wa Tatu kwa Ubora.
Kwa mujibu wa Utafiti wangu.
Upo Hivi
1. Messi.
2.Ronaldo.
3. Mbape.
Modric yukwapMbape ni Mchezaji mzuri mno.
Ni mchezaji wa Tatu kwa Ubora.
Kwa mujibu wa Utafiti wangu.
Upo Hivi
1. Messi.
2.Ronaldo.
3. Mbape.
Hajaanza kupata airtime this wc mkuu since 2018 watu tulishamkubaliMbappe ni mchezaji mzuri level zake ni vinicious jr na neymar hafai kufananishwa na messi au Cr7
mbappe kapata air time kubwa africa kutokana na nchi nyingi za africa zilitaka france ishinde kutokana na uhusiano wa rangi (black ) sawa na sisi
Uzi ufungweSiyo huyo tuu , kuna wengi tuu wamewazidi Messi na Cr Kwa takwimu za umri huo , tunachoangalia ni consistency , tunamuombea aendelee hvyo hvyo mpak umri walio nao hao wazee ... Kwa umri huo huo Messi na Ronaldo tayar walikuwa na Balon d'Or, Mbape Hana, na waliondelea kuzikusanya Kwa Kasi , lakin pia Messi akiwa tayar ana mchezaji Bora under 20 , aliyoichukua na umri wa 16 yrs ,....
Unaweza kuwa umefunga magori mengi lakini yakawa hayana impact sababu ya ligi na club uliyopo , kiufupi Tu ni kuwa Mbape yupo sehemu nzuri tatizo ni hyo club aliyopo, Kwa sasa ili utoboe unatakiwa uwe na club ambayo ina uwezo wa kuchukua champion league back to back , hapo tuzo utaziokota Sana , Mbape club aliyopo ni miyeyusho kinachombeba ni timu ya Taifa wapo vizur Sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa kombe wameshinda ila bado wanaweweseka na Mbappe.
Choose between Neymar and Lewandowski yupi best hapo alafu ndo tujue kama hii comment ulimaansha au unabishana?Mbona CR7 wanamlinganisha na Messi kama Magoli sio big issue.
The whole point ya kucheza football ni kufunga, So afungae ndiye bora.
Lewangoalski almost got a ballon dor last year Vipi Neymar?Choose between Neymar and Lewandowski yupi best hapo alafu ndo tujue kama hii comment ulimaansha au unabishana?
🤣🤣🤣🤣 Sawa basiLewangoalski almost got a ballon dor last year Vipi Neymar?
Lewa is my fav.
Kama mpira ni maskills kina Ozil ndo wangekuwa best players.🤣🤣🤣🤣 Sawa basi
Tumemaliza mkuuKama mpira ni maskills kina Ozil ndo wangekuwa best players.
Mpira ni numbers, Because numbers dont lie
mbona wameshaanza mkuu, ukisikia kuna Zombies wa Messi unahisi ni masihara?Kwanini? Watu hawataki kuona changamoto mpya? Mbappe ni wa kukuzwa na kuwa promoted, Utani utani wanaweza anza kufanya ibada na kuabudu messi.
1GoatMbape ni Mchezaji mzuri mno.
Ni mchezaji wa Tatu kwa Ubora.
Kwa mujibu wa Utafiti wangu.
Upo Hivi
1. Messi.
2.Ronaldo.
3. Mbape.
Mkuu kuna mahali umeandika Ricardo Kaka alikuwa goal machine.Form is temporary CLASS is permanent.
Mbappe ni mchezaji bora Hilo halina ubishi lakini je ataweza kumaintain classic performance for the long run kama Messi na CR7.
Muda utatoa majibu.
Kulikuwa Kuna akina Ricardo kaka, ronadinyo gaucho, Didier Drogba hao wote walikuwa goal machines.
Kazi ipo.mbona wameshaanza mkuu, ukisikia kuna Zombies wa Messi unahisi ni masihara?