Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

Mbappe has a potential to win it all like Messi. So still hajafikia level hiyo lakini anaweza kufikia huko.
Ana miaka 24 tu

Messi katika huon umri alishwawin karibia vitu vingii katika klabu na personally.

Ana bahati mbaya sana kucheza mpira kipindi Messi bado anaucheza katika Leo Ile ile.

Hata CR7 ana bahati mbaya sana kuwa nyakati hizi za Messi.

Messi kawawekea kauzibe wengi sana

Wangoje astaafu au ahamie Soka lisilo la ushindani ndio wawike.
 
Upo sawa..

lakin wakat wa kumfananisha Mbape na Cr7/Messi haujafika.

Ana safari ya kupprove hilo, labda akifika mkuu
Form is temporary CLASS is permanent.

Mbappe ni mchezaji bora Hilo halina ubishi lakini je ataweza kumaintain classic performance for the long run kama Messi na CR7.

Muda utatoa majibu.

Kulikuwa Kuna akina Ricardo kaka, ronadinyo gaucho, Didier Drogba hao wote walikuwa goal machines.
 
achana na hizi takwimu, hivi uliwahi kumshuhudia messi uwanjani at 20yrs...........??,

overall play ya Messi ilikua balaa, kijana alikua anacheza kama amesetiwa, utadhani play station
Messi kaanza ingia kikosi Cha Cha Barca ana miaka 19 usilete unazi hapa.

Tunakumbuka sana alivyokuwa anasomba Kijiji mtu Tano hadi sita na kipa juu na anafunga goli safi murua.

Tatizo lenu manataka kufafanisha vitu visivyofaninishika kwa Sasa labda hadi baadae huko.
 
Mbappe ni mchezaji mzuri level zake ni vinicious jr na neymar hafai kufananishwa na messi au Cr7

mbappe kapata air time kubwa africa kutokana na nchi nyingi za africa zilitaka france ishinde kutokana na uhusiano wa rangi (black ) sawa na sisi
Hajaanza kupata airtime this wc mkuu since 2018 watu tulishamkubali
 
Siyo huyo tuu , kuna wengi tuu wamewazidi Messi na Cr Kwa takwimu za umri huo , tunachoangalia ni consistency , tunamuombea aendelee hvyo hvyo mpak umri walio nao hao wazee ... Kwa umri huo huo Messi na Ronaldo tayar walikuwa na Balon d'Or, Mbape Hana, na waliondelea kuzikusanya Kwa Kasi , lakin pia Messi akiwa tayar ana mchezaji Bora under 20 , aliyoichukua na umri wa 16 yrs ,....

Unaweza kuwa umefunga magori mengi lakini yakawa hayana impact sababu ya ligi na club uliyopo , kiufupi Tu ni kuwa Mbape yupo sehemu nzuri tatizo ni hyo club aliyopo, Kwa sasa ili utoboe unatakiwa uwe na club ambayo ina uwezo wa kuchukua champion league back to back , hapo tuzo utaziokota Sana , Mbape club aliyopo ni miyeyusho kinachombeba ni timu ya Taifa wapo vizur Sana
Uzi ufungwe
 
Mbona CR7 wanamlinganisha na Messi kama Magoli sio big issue.

The whole point ya kucheza football ni kufunga, So afungae ndiye bora.
Choose between Neymar and Lewandowski yupi best hapo alafu ndo tujue kama hii comment ulimaansha au unabishana?
 
Kwanini? Watu hawataki kuona changamoto mpya? Mbappe ni wa kukuzwa na kuwa promoted, Utani utani wanaweza anza kufanya ibada na kuabudu messi.
mbona wameshaanza mkuu, ukisikia kuna Zombies wa Messi unahisi ni masihara?
 
Form is temporary CLASS is permanent.

Mbappe ni mchezaji bora Hilo halina ubishi lakini je ataweza kumaintain classic performance for the long run kama Messi na CR7.

Muda utatoa majibu.

Kulikuwa Kuna akina Ricardo kaka, ronadinyo gaucho, Didier Drogba hao wote walikuwa goal machines.
Mkuu kuna mahali umeandika Ricardo Kaka alikuwa goal machine.
 
Back
Top Bottom