Halafu anasema eti watu wanamchukia mbape😂😂Kitu ambacho umekiacha kwa makusudi ni kuwa messi alipata ballon d'Or akiwa na age ya 22
Alichokifanya Kwenye finali ya kombe la Dunia huko Qatar ndicho kimempa umaarufu huo.Huyu dogo kawapa nini? Mbona kila siku anaanzishiwa uzi? Au ndo nyota inang'aa?
Wakati Messi anaenda kuzeekea PSG(farmers league ) na kuchukua kiinua mgongo, Mbape yeye ameamua kukaa hapo ili ang'are. What a waste of talent.Siyo huyo tuu , kuna wengi tuu wamewazidi Messi na Cr Kwa takwimu za umri huo , tunachoangalia ni consistency , tunamuombea aendelee hvyo hvyo mpak umri walio nao hao wazee ... Kwa umri huo huo Messi na Ronaldo tayar walikuwa na Balon d'Or, Mbape Hana, na waliondelea kuzikusanya Kwa Kasi , lakin pia Messi akiwa tayar ana mchezaji Bora under 20 , aliyoichukua na umri wa 16 yrs ,....
Unaweza kuwa umefunga magori mengi lakini yakawa hayana impact sababu ya ligi na club uliyopo , kiufupi Tu ni kuwa Mbape yupo sehemu nzuri tatizo ni hyo club aliyopo, Kwa sasa ili utoboe unatakiwa uwe na club ambayo ina uwezo wa kuchukua champion league back to back , hapo tuzo utaziokota Sana , Mbape club aliyopo ni miyeyusho kinachombeba ni timu ya Taifa wapo vizur Sana
Wanaogopa rekodi za mchezaji wao midevu zitavunjwa kwanza 2026 anaenda kuwa top score wa mda wote wa kombe la Dunia wakati midevu wao hajawah kabisa kufikia rekodi hiyo pili dogo kashakuwa mfungaji Bora wa kombe la Dunia wakati midevu kweupe ishu ya champions league,Tuzo za France magazine dogo Ata zibeba sana ngoja atue bernabeuHuyo dogo sijui kawapa nini mbona anaongelewa sana? Kila siku hapa lazima aanzishiwe uzi.