[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji37] [emoji37]nahitaji kufuatilia Uzi huu kwa jirani sana. Mimi ni RAIA wa Mexico ila Niko Tz kwa Bahati njema
mkutano wa AU ukiisha[emoji3] [emoji3] [emoji12]The bold utarudi lini ili tupite hapa
Mkuu The Bold: Hongera kwa kutuletea adimu kabisa, na mimi nimeomba uni tag pleaseKABLA YA SAA NANE MCHANA NIATKUWA NIMEWEKA MUENDELEZO WAKUU..
Shukrani kwa kusubiri..
Unapoona the bold anachelewa kutuletea updates ujue ni huyu mdada ndio chanzo. The bold akiwa anaandika huyu mdada anakuwa anamsumbua mara amshike mikono, mara amsumbue mabegani, mara amwambie muda wa kulala umefika.... Na ukimuudhi tu huyu mdada hata updates zenyew utazisikia bombani.... usimuudhi huyu mdada tafadhaliInamaana una pasword za The bold au amekutumia Screenshot??
Nawaza kwa sauti
mkuu kwa heshima na taadhima usilinganishe nondo za The bold na ule ujinga ujingaStory km hizi hapo kitambo shigongo alituuzia lakini mkuu the bold anatulisha bure salute usisahau kunitag
siku akiweka nondo mpya utajuaje?Mnalilia tag za nini na nyie? Si u subscribe tu kwa topic hii utapata notifications!! [emoji48]
Wanachonikera wauza unga wanakamatwa kama kukuAnd usisahau kuwa yuko jela..
Aisee, kweli mchizi kanasaUnapoona the bold anachelewa kutuletea updates ujue ni huyu mdada ndio chanzo. The bold akiwa anaandika huyu mdada anakuwa anamsumbua mara amshike mikono, mara amsumbue mabegani, mara amwambie muda wa kulala umefika.... Na ukimuudhi tu huyu mdada hata updates zenyew utazisikia bombani.... usimuudhi huyu mdada tafadhali
Broh mbona kule kwenye 'chit chat' yetu sikuoni?Thanks Mkuu kwa kunitag, msalimie cheupe.