Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

AlhamduliLlah mimi ni Muislam, siamini katika Miungu namuamini Allah pekee.
 
Dini ni moja tu, Uislam.
Na mkristo nae anasema dini ni moja tu ukristo! Na budha nae anasema dini ni moja tu ubudha! Kuna mamia ya dini hapa duniani kila mmoja anadai upande wake ndio sahihi! Kiufupi masuala ya dini ni kama kubeti! 😂😂
 
"nafikiri Mungu mwenyewe angependa tumtafute zaidi yeye kuliko jinsi tunavyoelekezwa na mashirika yetu"
Mkuu Eli Cohen kama unafikiri hivyo kwamba tumtafute zaidi Mungu, huyu Mungu amejifunua au kujidhihirisha kwa watu/wanadamu kwa kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…