Ladha ya chumvi kwenye maji ya Kilimanjaro inasababishwa na nini?

Ladha ya chumvi kwenye maji ya Kilimanjaro inasababishwa na nini?

Maji ya Kilimanjaro hapo awali hayakuwa na ladha ya chumvi, ila haya ya siku hizi hili tatizo limekuwa sugu, nini sababu ya haya maji kuwa na ladha ya chumvi chumvi? Na ukikagua packaginh yanaonekana ni authentic kabisa, sio fake..
Kunywa Mo Energy hakika utanitafuta kunishukuru
 
Hiyo kampuni toka mwenyewe afe maji yakawa adimu, kama ni kweli pia unasema yamekuwa na chumvi huenda sababu mwenyewe hayupo

Ni kama kampuni inahujumiwa,imagine kampuni ipo toka miakq ya 90 alafu ghafla tu supply iwe chini
 
Hiyo kampuni toka mwenyewe afe maji yakawa adimu, kama ni kweli pia unasema yamekuwa na chumvi huenda sababu mwenyewe hayupo

Ni kama kampuni inahujumiwa,imagine kampuni ipo toka miakq ya 90 alafu ghafla tu supply iwe chini
nami nimekutana na hii kitu kama mara mbili mpaka nikawa najiuliza ni salama?
 
Juzi nimenunua packet ya Lita Moja pieces 6 Kwa 2,500/- nilichoka sana! Packaging sawa ila ndani Yana chumvi!! Na Kuna ambayo ya nusu Lita nanunua 5500 yenyewe yapo poa!! Kuna tatizo kubwa
Bei tu ingekushtua....

Maana Bei ya Jumla ya Lita Moja maji ya Kilimanjaro ni elfu nane na mara nyingi yanakaa 12.
 
nami nimekutana na hii kitu kama mara mbili mpaka nikawa najiuliza ni salama?
Hayo maji yatakuwa fake, kuweni makini sana,hata K vant nasikia zipo fake

Pia last week nilinunua soda water (kampuni ya coke) siku zilikuw tofauti lakini soda zote zile hazikuwq na gas
 
Back
Top Bottom