Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hill water na Udizungwa source yao ya maji ipo sawa na maji ya mtoni so RO system yao inawork vizuri- Kilimanjaro water Source ya maji Shirimatunda Moshi ni tofauti na Dar factory , Inaonekana Kuna settings azipo sawa so kiasi fulani cha Chumvi kinapita kwenye RO system zaoNahisi zamani yalikuwa yanatoka moja kwa moja kutoka Moshi na yalikuwa halisi kutoka mtoni ila ile idea ya ulazima wa maji kutoka kwenye vyanzo asili vya mito umeondoka baada ya management mpya kuja na wazo la kuwa na viwanda popote bidhaa yao inapouzika.
So kama Dar hakuna vyanzo vya maji ya mto wanategemea kuchimba visima lazima hii shida itokee na ubaya wa maji ya kisima changanya madawa utakavyochanganya lazima kwa anayejua ajue,kwa sasa tumia Hill Water naona kidogo yana asili ya mtoni nasikia yanazalishwa Bagamoyo
Maji nyumbani ni bora uwe unachemsha mwenyewe. Na ukichemshia mkaa ni bora. Ukiweza kutumia kuni ni bora zaidi kwani yanakuwa na taste ya moshi ambayo naipenda sana. Chemsha, chuja, weka kwenye mtungi msafi yapoe.Kuna ndugu zangu kadhaa wakinywa hayo maji wanaumwa sana vichwa, nilijaribu siku moja waliponitembelea nyumbani nikawamiminia kwenye glass bila wao kuona chupa nilimoyatoa, baada ya kama nusu saa wakaniomba panadol
Tatizo maji yetu wameyatreat, hayanyweeki kutokana na madawa wanayoweka kuyatibu, tunachofanya tunavuna rain water ni mara 100 bora kuliko hayo ruwasa, ila tukiishiwa option ni chupaMaji nyumbani ni bora uwe unachemsha mwenyewe. Na ukichemshia mkaa ni bora. Ukiweza kutumia kuni ni bora zaidi kwani yanakuwa na test ya moshi. Chemsha, chuja, weka kwenye mtungi msafi yapoe.
Unataka kusema madawa wanayoweka hayafai kwa matumizi ya binadamu au? Duniani kote maji ya bomba huwa treated. Hakuna maji yanatoka eg kwenye mto au ziwa na kupelekwa direct kwa watumiaji bila kuwekwa dawa.Tatizo maji yetu wameyatreat, hayanyweeki kutokana na madawa wanayoweka kuyatibu, tunachofanya tunavuna rain water ni mara 100 bora kuliko hayo ruwasa, ila tukiishiwa option ni chupa
Yanaharibu ladha halisi ya majiUnataka kusema madawa wanayoweka hayafai kwa matumizi ya binadamu au?
Nchi zote duniani maji huwekwa dawa. Majuu unaweza kunywa maji kutoka kwenye bomba na ladha yake ni nzuri.Yanaharibu ladha halisi ya maji
I know all of thatNchi zote duniani maji huwekwa dawa. Majuu unaweza kunywa maji kutoka kwenye bomba na ladha yake ni nzuri.
Kama uko Dar, kinachofanya maji yale na ladha mbaya ni nature ya maji yenyewe na sidhani ni dawa. Sehemu kama Kilimanjaro maji yana ladha nzuri sana japo nayo yanawekwa dawa.I know all of that
Juzi nilinunua dawa ya meno Colget Herb yaani tope kabisa.Hayo maji yatakuwa fake, kuweni makini sana,hata K vant nasikia zipo fake
Pia last week nilinunua soda water (kampuni ya coke) siku zilikuw tofauti lakini soda zote zile hazikuwq na gas
🙏Kama uko Dar, kinachofanya maji yale na ladha mbaya ni nature ya maji yenyewe na sidhani ni dawa. Sehemu kama Kilimanjaro maji yana ladha nzuri sana japo nayo yanawekwa dawa.
umeulizwa inasababihswa na nini we unasema dasan wakati hayo dasani yanakiharufu fulani sipoa.Dasani ni maji mazuri Sana Kilimanjaro ilikua zamani
Sio kweli nipo kaskazini na maji ndio radha hiyo hiyo ya Chumvi chumvi nimebadili wakala naona yapo hivyo hivyo nimejaribu Jibu naona sio mbaya kidogo..Ukiyanywea kaskazini ni mazuri sana ila ukinunua kwa hapa dar ni full chumvi. Kuna mtu aliniambia nikambishia ila mwisho na mimi nikajionea
Daah nipo kaskazini naona radha ya chumvi hii kauli ningekua kusini ungenikamata...Maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa na kiwanda cha Bonite Bottlers Moshi na kwa kiasi kikubwa yanasambazwa mikoa ya kaskazini na ya jirani.Haya mengine yanayouzwa Dar pamoja na mikoa mingine yanazalishwa hapahapa Dar kwenye kiwanda cha CocaCola yaani wanatumia formula ileile kama wanayotumia Moshi.Hivyo utaona utofauti wa ladha
Bei ilinitisha sana, ila muuzaji kajifanya ni promoter WA Kilimanjaro akasema wanachuana na hillBei tu ingekushtua....
Maana Bei ya Jumla ya Lita Moja maji ya Kilimanjaro ni elfu nane na mara nyingi yanakaa 12.
Duuu, hiyo Sodium balaaKikubwa ni kuangalia label yao ili kuona kilichomo ndani na faida kwa public health perspective.
Ukiangalia level ya Na(sodium) kwenye kilimanjaro ni kubwa sana ambayo kwa mwenye pressure na hypertension au dalili, siyo mazuri na haitakiwi kuyatumia.
Tulisoma kwenye food microbiology, public health na animal microbiology na kuona kuna maji ambayo ni sahihi kwa matumozi husika kama kunywa, kutumia nyumbani, kwa ajili ya mifugo na mengine hayapaswi hata kutumiwa
Tulifanya coliform test na MPN test na confirmatory test kwa baadhi ya bidhaa za hapa ndani kama jiuce na maji na kugundua mambo kadha wa kadha.
Kikubwa kama utaweza kuchemsha maji ni vyema kufanya hivyo, kama una matatizo ya moyo achana na Kilimanjaro.
Tuwe na utamaduni wa kuangalia kwenye label(lebo) ya bidhaa husika ili kuepukana na dhahama za kujitakia
View attachment 2458589