Maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa na kiwanda cha Bonite Bottlers Moshi na kwa kiasi kikubwa yanasambazwa mikoa ya kaskazini na ya jirani.Haya mengine yanayouzwa Dar pamoja na mikoa mingine yanazalishwa hapahapa Dar kwenye kiwanda cha CocaCola yaani wanatumia formula ileile kama wanayotumia Moshi.Hivyo utaona utofauti wa ladhaMaji ya Kilimanjaro hapo awali hayakuwa na ladha ya chumvi, ila haya ya siku hizi hili tatizo limekuwa sugu, nini sababu ya haya maji kuwa na ladha ya chumvi chumvi? Na ukikagua packaginh yanaonekana ni authentic kabisa, sio fake..