Ladies kama mpenzi wako hana pesa solution ni kutafuta kazi sio mpenzi mpya

Ladies kama mpenzi wako hana pesa solution ni kutafuta kazi sio mpenzi mpya

Sio siri hii kitu iko wazi na nimeshawahi kushuhudia watu wangu kadhaa wakikumbwa na hii kadhia! Unakuta mtu yupo na mpenzi wake katikati ya mahusiano mambo yanakuwa tight ghafla labda mchizi kapoteza kazi hela imekata, approach ambayo ataitumia mpenzi wake ni kuhama tawi yani kuhamishia mapenzi kwa mchizi mwingine ambaye yuko well of na hatimae ku break up na jamaa wake wa mwanzo!

Swali kwenu ladies why do you always choose getting a new relationship wakati tatizo hasa ni pesa badala ya kutafuta kazi ya kufanya?
Mkuu

extrovet
Unajua maongezi yaliyo endelea pale bustani ya Edeni kati ya hawa na nyoka?
Baada ya kula tunda.

Ni ngumu kupata hili jibu kutoka kwa wadada zaidi utaona wengi wanakupa majibu ambayo wao wenyewe wanajua yatakufariji tu

Kuhusu hicho kipengele cha wanawake kupenda pesa,kwakweli wanaume ni uchunguzi mtakaokesha mkichunguza msipate jibu

Mi mwenyewe nawashangaa wanawake whyyyyy?????
 
Natafuta mpenzi mpya.. Bwanangu tuliachana baada ya kupunguzwa kazini.. Alie interested aje pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kama unaogopa kuachwa na kupata maumivu jitahidi uwe na mademu kama 3 au zaidi ukikuacha moja wala hata huwazi unakuwa normal cz waliobakia wanakupa faraja.
IMG-20181107-WA0013.jpg
 
Binafsi hata mwanaume akiwa na pesa sipendi kujibweteka lazima niwe nashughuli ya kufanya. Kwahyo hata yeye akiwa Hana Mimi sikosi hela ya mboga!
Hongera sana chaurembo umejipambanua vizuri kuwa sio wale yatima, btw i like ur Avatar uko musupa!
 
kama unaogopa kuachwa na kupata maumivu jitahidi uwe na mademu kama 3 au zaidi ukikuacha moja wala hata huwazi unakuwa normal cz waliobakia wanakupa faraja.View attachment 933138
Hahahahaah hii kitu ilinchekesha sana siku ya kwanza kuiona hahahaha!!! Kiukweli unachosema ni sahihi maana kuwa na mademu wa ziada ni kama cushion endapo mambo yakiwa hayako upande wako! Hii mbinu wahuni ndio tunaitumia sikuhizi halafu inasaidia sana kukufanya uwe na msimamo thabiti si mtu wa kuburuzwa buruzwa!
 
Kuna siku nipo kwenye gari ya rafiki yake na mama yangu, ana miaka kama 70 hiv huyo mama, sasa wakawa wanapiga stori.....iyo story ikawa inamhusu binti ambaye kaachana na mme wake...kaenda kwa msera mwingine, nilimsikia huyu mama akisema"na sisi wanawake kwa kupenda hela'"......... nilisikitika tu.nikajisemea kitu hela kwa mwanamke[emoji23][emoji23]
 
Hahahha hao napenda kuwaita "nomadic lovers" watu wa hivyo hawana love wana lust ndio maana hawawezi kuvumilia hata shida ya siku moja,.tunaambiwa UPENDO huvumilia,husamehe,haufanyi mambo yake n.k,..so,ukifanya kinyume na hapo huo sio upendo ni tamaa tuu na kuendekeza njaa,.
Aisee ni kweli unachoeleza. Wapenz wahamaji. Hawa wako kwa mtu sababu wanapatakitu na si kwa sababu ya upendo. Fulia kidogo ndio utaelewa maana yake.

Binafsi nimekutana nao sana.
 
Back
Top Bottom