Hahahaha hebu ondoa kichaa chako wewe aggyjayNatafuta mpenzi mpya.. Bwanangu tuliachana baada ya kupunguzwa kazini.. Alie interested aje pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Slay queen. Wanawake wa chips kuku. Wanawake wanaowaza tu pesaKama wana vichwa vyepesi watakuelewa. Ila usitegemee Slay Queen akakuelewa katika hili.
Hahahaha nahela lakin loh hapana. Nikufulia utaenda kwa mwingine tenaNatafuta mpenzi mpya.. Bwanangu tuliachana baada ya kupunguzwa kazini.. Alie interested aje pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha ya kuendekeza njaa na dhiki ni mabaya sana,..huwezi kuja kufurahia maisha hata siku moja...Aisee ni kweli unachoeleza. Wapenz wahamaji. Hawa wako kwa mtu sababu wanapatakitu na si kwa sababu ya upendo. Fulia kidogo ndio utaelewa maana yake.
Binafsi nimekutana nao sana.
Hahahaha nahela lakin loh hapana. Nikufulia utaenda kwa mwingine tena
Sasa ww unatofauti gani mwekezaji? Hahaha sikup ng'oYah nahama hivohivo...
Nahama tu yani
kweli hahina tatizoNi maamuzi yake mkuu,sioni ubaya wa hilo kama kahamua na hajawahi kudondosha nyuzi za kumkashifu mfalme wetu basi haina tatizo kabisa
Sasa ww unatofauti gani mwekezaji? Hahaha sikup ng'o
Kwani ukimfungulia biashara ndio kwamba hatokuacha ukikosa kazi mkuu, hebu siku jaribu kutumbuliwa uone huyo anaekuita honey leo atakavyobadilika na kuwa kitu cha ajabu ambacho hujawahi hata dhania!Mwanaume msaidie mwenza wako kupata kazi/shughuli itakayompa kipato wskati mambo yako yapo vizuri, ukisubiria hadi mambo yaende mrama ukubali matokeo tu.
Hahaha ninae mmoja nilijifanya nimefulia. Alaanza kupunguza mapenz. Alipokuja kugundua kuwa ni uwongo... akarudi wka kasi nakuanza kunipa love wakat alienda hadi kwa mwanaume mwingine. tena aka mpost whatsapp.Ole wako uoneshe dalili kuwa huna, utashangaa na macho yako mapenzi yalivyo machungu!
Kwamba hao ni wapenzi wasio na nia ya dhati ya mapenzi,,hahah tatizo huwezi kuwajua kirahisi hasa kipindi ukiwa mambo safi, we unashauri wapenzi wafanyaje mambo yakiwa alijojo? Je ni sahihi kukimbiana kweli?Hahahha hao napenda kuwaita "nomadic lovers" watu wa hivyo hawana love wana lust ndio maana hawawezi kuvumilia hata shida ya siku moja,.tunaambiwa UPENDO huvumilia,husamehe,haufanyi mambo yake n.k,..so,ukifanya kinyume na hapo huo sio upendo ni tamaa tuu na kuendekeza njaa,.
Hahaha huyo mshamba kashafeli pepa 1! Mwache atubu tu sasa, kama unaweza kumpa na kumtumia kama kijamvi cha wageni!Hahaha ninae mmoja nilijifanya nimefulia. Alaanza kupunguza mapenz. Alipokuja kugundua kuwa ni uwongo... akarudi wka kasi nakuanza kunipa love wakat alienda hadi kwa mwanaume mwingine. tena aka mpost whatsapp.
Sahiv kaachika basi ananisumbua nisaidie pesa... anaomba vibaya mno.. hana haya
Anayetambua thamani ya upendo hahitaji chochote toka kwetu wanaume zaidi ya upendo wa kweliKwahio ni bora ku approach kisakara tu, ila je utampata mtoto mzuri kweli kwa design hio yakutongoza ukiwa mkono mtupu story nyingi?