Ladies kama mpenzi wako hana pesa solution ni kutafuta kazi sio mpenzi mpya

We unaonekana una roho ya kizungu sana mamii, napenda hio attitude yako very understanding and never selfish i can't imagine huyo jamaa yako anavyoinjoy! Vipi kuna alieleta mahari tayari, on serious note?
Hahaha hilo tuliweke in (....)comrade πŸ˜‰πŸ˜‰
 
hao sio ladies bhana ni girls

teh teh
 
Ukilichunguza hilo tukio kiundani utagundua huyo alie kuchukulia jimbo ndie aliekuchonganisha ww na wapiga kura wako
 
Yote tisa,kumi ni kuleta mk"nd* wake mrudiane baada ya kugundua mambo yameshakaa sawa.


Nachukiaga sana Ex wangu akirudi turudiane.
 
Bila shaka umewazungumzia wasichana... wanawake hawapo hivyo.

Kwa mtizamo wangu, wakat mwingine inachochewa na namna ambavyo mlianza mahusiano, labda ulitumia kazi/wadhifa/fedha kumpata mwanamke

Hvyo, vikipotea, na mapenzi yanakufa kibudu.

Lakini kama ulianza naye ukiwa hauna kitu na mkavuniliana na kupenda ktk hatua ya utafutaji, nadhani hata ukipata fedha halafu baadaye zikapotea, hawez kukubwaga.

Ingawa, wapo wanaume wenzetu wanatuaibisha sana, unakuta amependwa na mwanamke akiwa hana kitu na amevumiliwa kwelikweli mpk anakuja kuwa na mifedha, cha ajabu akifanikiwa anaanza kumnyanyasa mpenzi wake wa siku zote na kuchukua wanawake wengne.... laana ya hili jambo ni kubwa sana.

In short, kuanza chini ni muhimu ili kuepuka purukushan huko mbele.
 
Hakukua na mapenzi hapo..pesa ilipendwa zaidi
 
Nilikua muumini wa kuamini maisha na mapenzi mazuri ni kuanza pamoja


Ila sasa nikukute tu umeshatuma tutumie maisha yasonge
 
Tulishaachwa sana huko nyuma tatizo cash,ila waliovumilia wanakula mbivu sasa hivi
 
usemacho ni kweli ila nikionaga tu pesa zimekata mfukoni kote vumbi tu hapo nasurrender mapema namwambiaga et mpenzi pesa zimekata tafuta wenye nazo mimi nitakulaza tu njaa hapa sitaki dhami mimi

huwa nasema hivi coz wanawake wa karne hii ni wapenda pesa na hawapendi mtu kama mtu
 
Baadhi ya wanawake wapo hivo (vichwa panzi), lakini mwanamke mwenye aliki timamu na anaejua nini anafanya hua anapambania kombe lake hadi mwisho wa ligi.
 
ni bora kwa pmj kuanza tena kutafuta pmj kuliko kuhama kambi kisa fedha huo ni ujinga wa kiwango cha lami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…