Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Mimi navutiwa sana na Extrovert.

Kiukweli yule kaka ananichanganyaga komwe langu mie Bichwa jamanii, imefika hatua mpaka tumeingia kwenye uchumba sugu na tunatarajia kufunga ndoa takatifu ya kikatoliki kwenye kanisa la ST PETERS mwezi ujao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa mbavu sina wallah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…