Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Bado hawajakutaja wala afu tatu zako bro 🤣🤣🤣Nakatiza katiza tu si unajua tena zile namba E zangu hazijui JF no kutajwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hawajakutaja wala afu tatu zako bro 🤣🤣🤣Nakatiza katiza tu si unajua tena zile namba E zangu hazijui JF no kutajwa
🤣🤣🤣🤣 Umeanza uchizi wako hunipi nafasi nikapumzikaNakuambiaje nakupenda na PM umefunga mamaa, bc fungua chap then nkutumie namba yangu 😔 afu ufunge kabla wakurungwa hawajajaza PM yako.
Cheka polepole usije paliwa maan harufu tu inatosha kukupalia🤣🤣🤣🤣🤣 bina ntapaliwa mwenzio
Nimezimia mara tatu yaan ni nimewekwa phylum "Afu tatu" nitoeni huko bora niwe stingy kwel kwel kuliko hyo phylum no maliceBado hawajakutaja wala afu tatu zako bro 🤣🤣🤣
Why😁😁Masikini 🤦♀️
Hapana usinitaje, utapeperusha njiwa.Nimeshamtaja Lucas Mwashambwa nae ananikuna moyo wangu
😂Au unataka nikutaje wewe nidundwe
Sisi sura za kazi tukae pembeni,hili jambo halituhusu!
Kabisa mama😳🤣🤣🤣 wee,sema kweli? 🤣🙏🙌🏿
Nimeshamtaja Lucas Mwashambwa nae ananikuna moyo wangu
😂Au unataka nikutaje wewe nidundwe
Ngoja nikuchagulie Equation x raraa reree njooni basi kuna mtoto mrembo hapa.
Uzi upo page ya 2749 lkn bado bila bila, sio wewe ndugu yangu wala sio mimi 😂Nikitajwa mnistue wakuu😊
Just namba tuu then unikatae nikiwa nna namba yako🤣🤣🤣🤣 Umeanza uchizi wako hunipi nafasi nikapumzika
Ndio useme sasa joanah we unavutiwa na nan?JF nzima ina ladies wawili tu,wengine wote vidume
Ngoja waje