Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣🤣 umeanza nongwa zakoSubir amlaze mtoto afu aswitch account 😁😁soon utaashangaa uzi upo page 3457
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 umeanza nongwa zakoSubir amlaze mtoto afu aswitch account 😁😁soon utaashangaa uzi upo page 3457
Ndo nashangaa...ila nipo makini nawe mpaka nimjueMbona kuna wakaka na wababa humu jamani wengi tu.
Kama we unavomkubali fulaniiiiiii.
Sema mi babe daddy wangu hajatajwa
Baby nina 35 na miezi 10😅😅ata 35 kushuka sio mbaya haniii😂😂
Uchachu chachandu na pilipili yenye mbilimbi🤣🤣🤣🤣 bina kwenye uchachu mbavu zinaniuma
🤣🤣🤣🤣 hebu ukoAcha dharau shauri zako
Kamata chuma hiko
Huku Jo kule Jo 🤗
Navutiwa na Nyani Ngabu iki kiumbe kinatembea na moyo wangu [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji18]
Toka mwaka 2021 nishamtag mara moja mbili Tu😂😂😂Ndo nashangaa...ila nipo makini nawe mpaka nimjue
sio mbaya kumbe 😋😋🥰Baby nina 35 na miezi 10😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣 bina ntapaliwa mwenzioUchachu chachandu na pilipili yenye mbilimbi
Nimtaje wakamuibe?? Aku!
mimi nabaki na wewe tu mshikaji wangu pekee...
😳🤣🤣🤣 wee,sema kweli? 🤣🙏🙌🏿Toka mwaka 2021 nishamtag mara moja mbili Tu😂😂😂
Nakatiza katiza tu si unajua tena zile namba E zangu hazijui JF no kutajwa🤣🤣🤣🤣 umeanza nongwa zako
Chawa on one an two 😂😂Mimi mwenyewe wangesema nitaje Mabinti ninao vutiwa nao humu .basi Namba moja ungekuwa wewe ephen. Namba mbili ungekuwa wewe ephen na namba tatu ungekuwa wewe tuu ephen. Ikifika siku ya kutaja kama nitakuwa sijauona uzi huo naomba unitag ili jukwaa zima litambue hivyo kuwa mimi nipo upande wako.nasimama na wewe ephen katika hali zote. Hata jukwaa zima likugeuke lakini mimi nitabaki upande wako ephen.
Nakuambiaje nakupenda na PM umefunga mamaa, bc fungua chap then nkutumie namba yangu 😔 afu ufunge kabla wakurungwa hawajajaza PM yako.Mbaga ananipenda huyo anaogopa kusema 😂😂😂
Anipe hela nimtaje sitaki kuchafua brand
Nimeshamtaja Lucas Mwashambwa nae ananikuna moyo wanguSi mmeruhusiwa kutaja wengi wengi