Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
mweh😁😁😁Nashukuru mrembo.. dm si ipo wazii😋😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mweh😁😁😁Nashukuru mrembo.. dm si ipo wazii😋😋
Ahsante sanaYou’re welcome Kamanda ✌️
Tusamehe Daddy pale tunapokukwaza...,najua tupo Kasi mno😔wala usipate wasiwasi na hilo..binafsi hupenda kuwasikiliza vijana hivyo hujua maneno yao na mitazamoyao kwa haraka sana pia hufurahi sana napoona kizazi cha sasa kipo haraka sana kujua mambo ya tekilonojia mfano nakumbuka miaka ya nyuma kidogo kwa mara ya kwanza gesi za kupikia zinakuja kwa kweli nilibaki kujiuliza sana juu ya ufanisi wake na itapikapika vipi na hapo nilikua mtu mzima ajabu kwa kizazi cha sasa kajukuu kamiaka3 kanabadili chanel za kisimbuzi na kupangusa simu kama ndio kagunduzi , inashangaza kwa kweli wakati sisi hata redio ya panasonic ya mawe 12 tuliiyogopa
🤣🤣😭aisee 🙌🏿Uzuri mungu anatupenda wote😅🙏🏼🙏🏼
Amefall kwa no malice namwambia jitahidi msikosane maana utaumbuliwa mchana kweupe🤒Nin mama?
Nampenzi wangu honeyMtaje mama roho yako itulie
Taratibu Mkuu.Mimi mwenyewe wangesema nitaje Mabinti ninao vutiwa nao humu .basi Namba moja ungekuwa wewe ephen. Namba mbili ungekuwa wewe ephen na namba tatu ungekuwa wewe tuu ephen. Ikifika siku ya kutaja kama nitakuwa sijauona uzi huo naomba unitag ili jukwaa zima litambue hivyo kuwa mimi nipo upande wako.nasimama na wewe ephen katika hali zote. Hata jukwaa zima likugeuke lakini mimi nitabaki upande wako ephen.
Uuuwii, umri umeniharibia hapamkaka wa kwanza ku quote hii uyo uyo napita nae,,ila asiwe above 30😂😂 vigezo na mashart kuzingatiwa
Wizo jamani 🤣🤣🤣Jamiiforums wanawake tupo wawili tu mimi na Lamomy
Wengine wote ni midume yenye majina ya kike na ya kiume.
Jichanganye usukumiwe hogo la kimkakati na GENTAMYCINE