Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf nzima inamjua mama J alivyomcharuko....,cha kujizeesha ni kipi 🥴Nikitajwa mnistue wakuu😊
😂😁😁😁😂😂😁DuhSasa jichanganye utume nauli
Kwlei ni mtoto mdogo😂😂 lkn hogopaaa ukutane na toto la kichaga lenye unoo kama snura mushi, nimechoka kukutafunia sifugi mamba kwenye kalai😂😂🤣 wa umri wako hisia zilishaaHuyo ni mtoto mdogo in TID voice 😂😁 Mimi nataka wa umri wangu kama wewe
Naitwa vin aka Chaz Nina majumba na viwanja kigamboni Nina mradi njiro kule Arusha njoo nikupe Tikti ya ndege twende paje Zanzibar tukale Rahamkaka wa kwanza ku quote hii uyo uyo napita nae,,ila asiwe above 30😂😂 vigezo na mashart kuzingatiwa
Kuhusu hisia usiwaze nitakupa dawa ya kituruki uongeze hisia huyo mtoto mdogo sanaKwlei ni mtoto mdogo😂😂 lkn hogopaaa ukutane na toto la kichaga lenye unoo kama snura mushi, nimechoka kukutafunia sifugi mamba kwenye kalai😂😂🤣 wa umri wako hisia zilishaa
Mimi mwenyewe wangesema nitaje Mabinti ninao vutiwa nao humu .basi Namba moja ungekuwa wewe ephen. Namba mbili ungekuwa wewe ephen na namba tatu ungekuwa wewe tuu ephen. Ikifika siku ya kutaja kama nitakuwa sijauona uzi huo naomba unitag ili jukwaa zima litambue hivyo kuwa mimi nipo upande wako.nasimama na wewe ephen katika hali zote. Hata jukwaa zima likugeuke lakini mimi nitabaki upande wako ephen.Siwezi kumsahau Lucas Mwashambwa
Anajua kunivunja mbavu
Mbona umemtaja wangu Mimi jamani ndio maana nilikuwa naogopa huu Uzi 😅Intelligent businessman
Hongera sana Kijana wa ccmMimi mwenyewe wangesema nitaje Mabinti ninao vutiwa nao humu .basi Namba moja ungekuwa wewe ephen. Namba mbili ungekuwa wewe ephen na namba tatu ungekuwa wewe tuu ephen. Ikifika siku ya kutaja kama nitakuwa sijauona uzi huo naomba unitag ili jukwaa zima litambue hivyo kuwa mimi nipo upande wako.nasimama na wewe ephen katika hali zote. Hata jukwaa zima likugeuke lakini mimi nitabaki upande wako ephen.
wala usipate wasiwasi na hilo..binafsi hupenda kuwasikiliza vijana hivyo hujua maneno yao na mitazamoyao kwa haraka sana pia hufurahi sana napoona kizazi cha sasa kipo haraka sana kujua mambo ya tekilonojia mfano nakumbuka miaka ya nyuma kidogo kwa mara ya kwanza gesi za kupikia zinakuja kwa kweli nilibaki kujiuliza sana juu ya ufanisi wake na itapikapika vipi na hapo nilikua mtu mzima ajabu kwa kizazi cha sasa kajukuu kamiaka3 kanabadili chanel za kisimbuzi na kupangusa simu kama ndio kagunduzi , inashangaza kwa kweli wakati sisi hata redio ya panasonic ya mawe 12 tuliiyogopaAisee....ila nakuita Daddy kishingo upande hata siamini Kabisa kama umezeeka..,,,, Grahams nae hupenda kujizeesha
Mungu anipe nini mie!Mimi mwenyewe wangesema nitaje Mabinti ninao vutiwa nao humu .basi Namba moja ungekuwa wewe ephen. Namba mbili ungekuwa wewe ephen na namba tatu ungekuwa wewe tuu ephen. Ikifika siku ya kutaja kama nitakuwa sijauona uzi huo naomba unitag ili jukwaa zima litambue hivyo kuwa mimi nipo upande wako.nasimama na wewe ephen katika hali zote. Hata jukwaa zima likugeuke lakini mimi nitabaki upande wako ephen.
Kidogo nikutaje bora umejileta 🤣🤣Nikitajwa mnistue wakuu😊
Intelligent businessman dogo njoo Kuna crush wako hukuIntelligent businessman