Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Anaweza kuishi kwa kula ugali na kachumbariAaaah umejikosesha mke aisehπππ
Usinifanye nikachoka plz πππππ Ngoja nizitafute kwanza nimesahau zinaanzia na ngapi!!
Udugu acha kumbania mwenzio π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka huu mziki auzime nani? Kwenye ule uzi wa Ghetto, Ile comment yako ilileta tafrani ujue.
Nikiachwaa jee? Wee huogopiiii?
Basiii na Django doer huyu ni kijana wangu atakufaa sanaLovelovie huyu kashatajwa hapo juu
Kazi anayo maanaπ€£π€£π€£π€£
Nimesahau namba sasa najitahidi kukumbuka π€£π€£π€£πUsinifanye nikachoka plz π
Bc nkutumie yanguNimesahau namba sasa najitahidi kukumbuka π€£π€£π€£π
Na alivyo kachachuka leo sijui itakuwaje π€£π€£π€£π€£Kazi anayo maana
Haya tuma π€£π€£π€£Bc nkutumie yangu
Huu Uzi utafika mbali sanaNa alivyo kachachuka leo sijui itakuwaje π€£π€£π€£π€£
Fungua bc pm plzHaya tuma π€£π€£π€£
Hapo hapana kwa kweli weeeh utakua unamnunulia ka hotchair hata kg moja alafu mnaikula na hiyo kachumbari.Anaweza kuishi kwa kula ugali na kachumbari
Fifi kajua kutukomesha leo kutaja tunashindwaHuu Uzi utafika mbali sana