Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope cha sura bhn,, upendo ni kitu kingine ila tatizo linakuwa kwa marafiki wa mwanamke
Ataniringishia sana leo🤣🤣🤣🤣 na leo katajwa humu hapatoshi
Hapana namaanisha wanawake kwa ujumla tena unakuwaga serious kabisa mpaka nakushangaaga, kuna siku nilikuuliza siku hizi umekuja kuwaje unakumbuka ulinijibu nini, yani binafsi mwanaume akishakuwa misogynist na kuanza kutukana au kudharau wanawake huwa namuona kama muuajiJadda wapi nimefanya hivo labda wanawake wanaoshabikia simba tu
Hafu watoto wakali tupu waliomtaja unalo leo 😂😂😂😂😂Ataniringishia sana leo
Umesema hivyo tu, nimekumbuka nusu saa iliyopita kilo mbili zimenitoka; nyie kwa nini mnapenda mdudu? 😀 😀 😀Hapo hapana kwa kweli weeeh utakua unamnunulia ka hotchair hata kg moja alafu mnaikula na hiyo kachumbari.
Sema Sina hakika kama ni mizigo ya kwenda maana haikwemo Kuna selfikaniHafu watoto wakali tupu waliomtaja unalo leo 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 hatuogopi kwanza kataka kunyakulia mwenyewe huoni anavyoforce coca amtajeJiangalieni,ana mke wake huyo jamaa Hadi majina yao yamefanana wote kina "Ke"jifanyeni nyakunyaku yakiwakuta simo
🤣🤣🤣🤣🤣 hatareeee mi simoSema Sina hakika ni mizigo ya kwenda maana haikwemo Kuna selfikani
Dah sikuwah kuwaza alooJiangalieni,ana mke wake huyo jamaa Hadi majina yao yamefanana wote kina "Ke"jifanyeni nyakunyaku yakiwakuta simo
Ngoja nikae huku upstairs niangalie mtanange🤣🤣🤣🤣🤣 hatareeee mi simo
Leo ndio leo 🤣🤣🤣🤣Ngoja nikae huku upstairs niangalie mtanange