Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Umesema hivyo tu, nimekumbuka nusu saa iliyopita kilo mbili zimenitoka; nyie kwa nini mnapenda mdudu? 😀 😀 😀
Eeeeeh hayo ndo maneno mpee nyamnyam mrembo huyo.
Kuna mashikaji huku uswazi kwetu anaitwa Abel weeeeeh weeeeeeh weeeeeh.
Ukienda hapo unakutana na hizo kalio big zinapishana hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka huu mziki auzime nani? Kwenye ule uzi wa Ghetto, Ile comment yako ilileta tafrani ujue.

Nikiachwaa jee? Wee huogopiiii?
Taflani ya nyoko

Na kweli ntakushikisha mapazia
Afu nicheze na ile kitruh
 
Eeeeeh hayo ndo maneno mpee nyamnyam mrembo huyo.
Kuna mashikaji huku uswazi kwetu anaitwa Abel weeeeeh weeeeeeh weeeeeh.
Ukienda hapo unakutana na hizo kalio big zinapishana hapo.
Huo ndio ugonjwa wangu, kalio na sura nzuri, niko tayari kumpa nyumba ya urithi; nielekeze hilo chimbo basi, nitakununulia mirinda 😀 😀
 
Back
Top Bottom