Ooh pole sana,najuaga ni mke wako wa ndoa,nilionaga siku za nyuma upendo wenu Ulikuwa real...Dah sikuwah kuwaza aloo
maskin dad wa watu kaninunia na kuninunia afu huku mnaita n mke wang
Ningejidai
Limeisha shem coca umempata hilo pigia mstari ππππNifanyie mpango nmpate huyo mtoto alooπ
Bff kachachukaaaaaπ€£π€£π€£π€£π€£ hana habareeee bff wangu
Hapana bwana... sio mke wangu.Ooh pole sana,najuaga ni mke wako wa ndoa,nilionaga siku za nyuma upendo wenu Ulikuwa real...
Eeeeeh hayo ndo maneno mpee nyamnyam mrembo huyo.Umesema hivyo tu, nimekumbuka nusu saa iliyopita kilo mbili zimenitoka; nyie kwa nini mnapenda mdudu? π π π
Kachachuka km siki ya mbilimbili na ukwaju π€£π€£π€£π€£Bff kachachukaaaaaπ€£
intelligent businessman asiye na business anaomba AFTATU bora aje awe kibenten wangu tuu π₯°π₯°π₯° shangazi mie sina roho mbaya atatajirika ndani ya mwezi tyu π₯°π₯°π€£π€£π€£π€£ no malice kumbe anapendwa pamoja na kuomba afu tatu pm
Wacha weee π€£π€£π€£π€£Fungua bc pm plz
U...eπππFind the missing alphabet πππNtapiga wewe hadi u...e
π€£π€£π€£π€£π€£ wapi wizo akeeee!! Aje tyuu umpe afu tatu tatuintelligent businessman asiye na business anaomba AFTATU bora aje awe kibenten wangu tuu π₯°π₯°π₯° shangazi mie sina roho mbaya atatajirika ndani ya mwezi tyu π₯°π₯°
Taflani ya nyoko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka huu mziki auzime nani? Kwenye ule uzi wa Ghetto, Ile comment yako ilileta tafrani ujue.
Nikiachwaa jee? Wee huogopiiii?
Okay ππππ.. nimekuelewa mkuuHapana bwana... sio mke wangu.
Acha hivyo hata mahusiano hatukuwah kua nayo
Ukipatia natoa 5000 nowU...eπππFind the missing alphabet πππ
Usizuge shosti ww jilipue bana π€£π€£π€£Ningemtaja wangu ila asije akawa ndio wako bure ππ
NYUkipatia natoa 5000 now
Huo ndio ugonjwa wangu, kalio na sura nzuri, niko tayari kumpa nyumba ya urithi; nielekeze hilo chimbo basi, nitakununulia mirinda π πEeeeeh hayo ndo maneno mpee nyamnyam mrembo huyo.
Kuna mashikaji huku uswazi kwetu anaitwa Abel weeeeeh weeeeeeh weeeeeh.
Ukienda hapo unakutana na hizo kalio big zinapishana hapo.
Kama hajatajwa ujue kimeo huyo.Mi mwenyewe nimeshangaa kibaka wangu hajatajwa π€£π€£π€£π€£