Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri wa beibyyy wangu hata wakimtaja akija anawashushua bac tafrani tupu!! Juzi kati kanipiga biti humu nilihisi drone za Israel zimetua kichwani kwangu wohiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui anatumia bangi ya wapi yule kiumbe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem tunaee, tunae haswaaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] udugu usicheke sana ataamka aje atuchambe mi simo [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku hizii sina heka heka, afu nime relaaaxxxx!!!
Unajua nn, mapenzi ya kweli yapooo, amini kwambaaaa!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]taratibu nko alone[emoji16]
Na hapo utai pinyua pinyuaa ujikute ushakojoa uji wa lishee kwa sakafu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harufu yake sasa woiiiiih!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kuachanaa, huu mwaka ni wa kufoc
Namuachaje kwa mfano?? 🤣🤣🤣🤣
Yy aswampe akimaliza beibyy wake nipo atanikuta nimejaa 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom