Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
🥰😘😘Nimemwelewa nitajikagua na kujirekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥰😘😘Nimemwelewa nitajikagua na kujirekebisha
Twende Leo, jana nililala mapema mno son.Ok Nimefurahi kusikia hilo twende kule naniliuu. Sasa 😌
Utanikuta pale pale
Bado mapemaMbn kama speed imepungua ?
Ukiona haujatajwa basi unajiongeza katajwa mwenzako, mambo haya magumu sanaHahahahaha km hujatajwa mkumbushe ..akutaje mkuu..na hali ya hewa hii
Hahahahaha..magumu haswq..ila sasa kama unaye na hajakutaja ndio yanakua magumu zaidiUkiona haujatajwa basi unajiongeza katajwa mwenzako, mambo haya magumu sana
Hahahahaha..sawa sawa na hii mvua bado sanaBado mapema
Eeeh na hiii hali ya hewa wapo ndani ya miblanket.Hahahahaha..sawa sawa na hii mvua bado sana
Hainipi shida mkuuKubwa la manusu Half american, a.k.a nusu albino we labda usubiri mizimu iku taje😁😂🤣
Heh eeh e he jomoniii kwani Hana koloni lake humu
😅😅😅 Hayo ndio manenoHuyo huyo ulonichagulia Kwa nin nimkatae😁
Acha uogaUnamtaja mtu wa mtu we kuweza 🤣🤣🤣
Mwambie mchumba aanze kunitunza haraka iwezekanavyo😅😅😅 Hayo ndio maneno
Hii sura yangu nitapata kweli!!
Mleta uzi umekosea, usingesema mwanaume, ungeandika wanaume.
Mabinti wataje hata watano, labda hata sisi kina Vishu Mtata tukabahatika kutajwa.