Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Uzi wa kuitana mashoga wadangaji Malaya na singo maza...
Hapana mkuu,
hiii ni chitchat , sasa kuvutiwa na I'd? Mfano mimi smjui yeyote zaidi ya tunavochart hapa tu

Na pia kuna wakati huku nilisoma kuna watu wanajfanysha wanajiita wa kiume kumbe wa kike, au kike kumbe kiume, sasa unaweza kukurupukia ke/me mwenzako(wachache),wanatajana kulingana na mtu anavyojiclassfy kijinsia)

na wapo wanaojuana pia huenda wanajitaja kiuhalisia hatujui
Cha mwisho INASEMEKANA hapa JF Ni panoma sana..
 
Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja.

Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa make sure una-show love ❤️ unaweza kumpata mke wa maisha yako.

Wa kwangu mtamkuta kwenye comment, haya ladies on the stage show love kwa kidume kinachoumiza feelings zako
Mmhhh wewe sema unataka uwajue au ndiyo muhitaji
 
Back
Top Bottom