Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ni yeye 🤣🤣🤣🤣Sijasema kama ndyo shemeji yenu nisijepigwa mawe bure 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye 🤣🤣🤣🤣Sijasema kama ndyo shemeji yenu nisijepigwa mawe bure 🤣🤣
Mkuu,Hahahahaha...unaacha utam ?
napokea na kuuchukua ushauri huu mujarabu sana, na kwakweli nitang'ang'ana nao pasina wasi kabisaMh chukua chombo hiko kinafaa usizunguke sana
Unanitafutia ugomvi...utanisaidia nikichambwa 🤣🤣Ni yeye 🤣🤣🤣🤣
Nimuache namuachia nani kwa mfano?? 🤣🤣🤣Sorry dyadya lamomi nilivyoona uyo jamaa anakuchombeza nikajua mmeachana
😂😂😂😂😂Naanza kuitwa mkuu soon.Hahahahaha...kuwasimamia wabeba mizigo
Aweeeeh nakutafutia mwingine bn 😂😂😂😂😂😀😀😀 akiondoka utaweza kunipa anachonipa?![]()
Hahahahaha..Sawa sawa Mkuu , hawajui we ni MasterMkuu,
Eti naringishiwa utam, umeiona wapi hiyo wakati hapa niko wa nyomi ya daladala naikwepa mishengena tu hapa🤣🤣
Nikiwabadilisha sana watanizeesha 😀Aweeeeh nakutafutia mwingine bn 😂😂😂😂😂
Sawa sawa😂😂😂😂😂Naanza kuitwa mkuu soon.
Mi unanijua sinaga kona kona ni yule yule mwamba wa kaskazini 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Yupi? Mtaje
Hapa nimeona ka-under 25 kamoja, nataka nijaribu vimekaaje hivi navyo, wazee wenzangu wananinyima nini🤣Hahahahaha..Sawa sawa Mkuu , hawajui we ni Master
Watazeeka wao kutumika sana, ww kula raha dada ako ntakuletea tu manamna gani.Nikiwabadilisha sana watanizeesha 😀
Nitaje basi hata kwa bahati mbaya, walau nijisikie ahueni 🙈Huyu mimi siwezi kumtaja hata kwa bahati mbaya...ngumi za mashangazi siziwezi kabisa
Wengine mishauo hatuwezi....Yani hata ukinipea siendi kutangaza 😎Huyu mashangazi hayamuhongi tungeshaona miashuo yake 🤣🤣🤣
Tatzo Wana makoloni kibao😂Uzi upo page ya 2749 lkn bado bila bila, sio wewe ndugu yangu wala sio mimi 😂