Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sio huwezi sema wamekuchoka utamu umeishaaaaa 🤣🤣🤣🤣Wengine mishauo hatuwezi....Yani hata ukinipea siendi kutangaza 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huwezi sema wamekuchoka utamu umeishaaaaa 🤣🤣🤣🤣Wengine mishauo hatuwezi....Yani hata ukinipea siendi kutangaza 😎
Bado mtoto mdogo weweHuo uchawi sasa! Sitaki
Wewe yako ni mishangazi watu wazima wenzakoBado mtoto mdogo wewe
Ewaaaaahh!! Muite luca mwenye mahaba yake, kwanza kina luca wanapenda mpk paka wa nyumbani kwenu hawana mbambamba 🤣🤣🤣🤣Analyse sio mtu hafai hata kidogo
Subiri nimuite Lucas Mwashambwa aje kunipa gazeti la mahaba 😍♥️
Achana nae huyu ataishia kula kwa machoPole sana ndugu mtazamaji bff wangu kuna dume la nguvu kashalitag 🤣🤣🤣🤣
Wewe utaishia kusindikiza mwenge kwa mbio tyuuu.!! 😂😂😂
Utamu haushi na hautakaa uishe. Subiria zamu yako ifike kama hujamsahau huyo chuga boy wako 😅Sio huwezi sema wamekuchoka utamu umeishaaaaa 🤣🤣🤣🤣
Subiri nikiona tena hiyo tag nitakuita
🤣🤣🤣🤣 Nakuzingua bana mh best yangu nisimzibie fursa ya kukumiliki toto zuri km ww bff wangu.!!Basi nipe baraka...nikiwa PA sitakuficha kitu bff nitakulindia asinyakuliwe na nyakunyaku wa mjini 🤣
Hahahahaha..hapana mkuu kwa sasa nimesimamisha project zote Mkuu..nimewaachia NyieWewe ulishamaliza project hiyo mzee mwenzangu?🤣🤣🤣🤣
HahahahahaBora hujaiweka, maana naona ni miyeyusho tu kutajana tajana hapa...
(Sorry kwa wale wanaotajana kwa kumaanisha)
🤣🤣🤣nina projects mbili baada ya hapo natundika daluga, hiyo ya under25 halafu ipo nyingine, then nazeeka kwa amani!Hahahahaha..hapana mkuu kwa sasa nimesimamisha project zote Mkuu..nimewaachia Nyie
Kwa hiyo watajwa ni mashika mapembe,nyie ndio wakamuaji?khaaaa!Sasa kama kutajwa ni mpaka umwambie, huyo ni wako kweli?.
Mimi niwape ujumbe wanaotajwa na wanaoomba kutajwa, kwamba, wanatajwa wao, ila tunakula sisi 😅
😁😁😁😁Ngoja aje kama hamjaambiwa mmeachwa na hamtaki kukubali ukweli🤣🤣🤣🤣 Shangazi kapoa sana anazidi kubongeka inatakiwa tumtie motro apungue.!!
Kashaizoea ndoa 😂😂😂
Ukiwa na shangazi after shoo, anachukua cm yake na kuangalia msg za marejesho toka kwa watu aliowakopesha. Ila ukiwa na binti, after shoo tutasikia "Baby na wengine ndio unawapaga kama hivi?" Hapo ujue panafatia mnuno first grade, ili mbembelezane.Wewe yako ni mishangazi watu wazima wenzako