Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Wewe wa chuga hafu mpare mwenzio ujue sema kamix 🤣🤣🤣🤣
Jamaa anayaweza kweli sio utani sijui kafunga injini ya lori..!!
Angekuwa hana mixer ya mpare ningekuambia tu huna mambo, wapare wanakimbizana na wangoni🤣🤣🤣we endelea na chugaa wako huko.
 
Bottom line, ni kakorofi sana. Tuyaache hayo kwanza, baridi inataka mazoezi hii, ndio maana kina Watu8 na Analyse wanakimbilia mashangazi, joto lake sio la dunia hii🤣🤣🤣
Watu8 kasema hapo juu eti mashangazi Hadi tuchemshiwe maji ya moto ndio tupate joto mi nikazooom tu nikasema hiiiiiiiiiii huyu siku akinasa Kwa mshangazi Mmoja atajua alichelewa kujua
 
Back
Top Bottom