Sawa muite huyo lamomy muwataje wanaume wanaowavutiaJamiiforums wanawake tupo wawili tu mimi na Lamomy
Wengine wote midume yenye majina ya kike na ya kiume.
Jichanganye usukumiwe hogo la kimkakati na GENTAMYCINE
Nitaje basi nitakupa kiwanja huku maeneo ya Cheka kigamboni na safari za zenji nakupeleka πππThe one and only Hater
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π
Sasa jichanganye utume nauliAstaghafirullah wewe ni mwanaume?
πππJF nzima ina ladies wawili tu,wengine wote vidume
Ngoja waje
Unavyopenda Uzee sasa BabaππΏwakongwe kunakitu tunaendelea kujifunza hapa
Mimi navutiwa sana na Extrovert.Sawa muite huyo lamomy muwataje wanaume wanaowavutia
Ndio πππBado hujatajwa?
uzee ni dawa binti yanguUnavyopenda Uzee sasa BabaππΏ
π€£π€£ Na abaya utampea π€¨Nitaje basi nitakupa kiwanja huku maeneo ya Cheka kigamboni na safari za zenji nakupeleka πππ
π€£π€£π€£π€£π€Ndio πππ
π₯°π₯°Mimi navutiwa sana na Extrovert.
Kiukweli yule kaka ananichanganyaga komwe langu mie Bichwa jamanii, imefika hatua mpaka tumeingia kwenye uchumba sugu na tunatarajia kufunga ndoa takatifu ya kikatoliki kwenye kanisa la ST PETERS mwezi ujao.
Hongera sana dada bichwa kwa kumpenda extrovertMimi navutiwa sana na Extrovert.
Kiukweli yule kaka ananichanganyaga komwe langu mie Bichwa jamanii, imefika hatua mpaka tumeingia kwenye uchumba sugu na tunatarajia kufunga ndoa takatifu ya kikatoliki kwenye kanisa la ST PETERS mwezi ujao.
Tajiri wako siunamkubali wewe tajiri tajiri bwana swagzπ
Maumivu ya kuwa kwenye Firm then Surbodinate ndo mnakua gud upstairs, kuliko Boss inauma sana πππ