Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Umechanganya Ciroc na jaigermaster sio?acha kujifanya mkemia asubuhi subuhiπŸ™†πŸ™†πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜†πŸ˜†
dah,
mtumishi amecharaza muandiko wa kipekee sana na uliobeba ujumbe mzito mno, na halafu karibia kugusa Siri za ufalme ambazo wazandiki hawapaswi kuzijua kamwe πŸ’
 
Kwa Neema na Baraka za Mungu, jambo hili linazungumzika, na tutazungumza kwa upendo, na tuta afikiana kwa salama na Amani , na tutasonga mbele pamoya πŸ’
🀣🀣🀣🀣 hapo sawa!
Hivi ile story iliishia wapi?? Ujue kila nikichungulia naona hamna kitu!! Umeanza lini uongo waziri?? Yani watu wa mbogamboga hamjawahi kuwa wakweli kabisaa.!! Sijui kwann??
 
Back
Top Bottom