Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpare akipenda anatoa pesa bila kinyongo km mkinga tyuuu!! 😂😂😂😂Yule ataingia kwenye world Guinness.. .maana ndio mpare wa kwanza kumtumia Hela bila majuto
Avatar hapana. Haina uhalisia, me nataka tufanye kitu genuineAngalia avatar 🤭
Tena nasikia mashetani yakipanda sio cheni tu hata kukubeba na kukutupa chini km jiwe sio shida zake, huyo umeme mdogo kichwani 😂😂😂😂😂Bora nimejua mapema...safari za kwa sonara zingekuwa haziishi 🤣🤣🤣
Oya pacha we si uli Sema ume okoka lakini 😄??Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi unajua utamu wa kupenda wewe?? Ukimpenda mtu utatamani kila sehemu umuweke bango uonyeshe raia unavyopenda.!! Ww huyo timua anakumalizia vihela vyako uko piemuni 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza ukitajwa inaongeza na kurudisha nguvu za kiume, huoni wenzio wanaamua kuwaita mademu zao wawataje 😂😂😂
before saa9 alasiri itakua tayari sehemu ya pili.🤣🤣🤣🤣 hapo sawa!
Hivi ile story iliishia wapi?? Ujue kila nikichungulia naona hamna kitu!! Umeanza lini uongo waziri?? Yani watu wa mbogamboga hamjawahi kuwa wakweli kabisaa.!! Sijui kwann??
Umefungua account mwezi huu, alafu unaitumia kujitag 😅😅. Mdogo wangu punguza speedOyaa we sio wa kuhurumia kabisa 😂, waku katae tu, mtu mwenyewe una kithethe😁
🤣🤣🤣🤣 niombeeni ni pepo limenivaadah,
mtumishi amecharaza muandiko wa kipekee sana na uliobeba ujumbe mzito mno, na halafu karibia kugusa Siri za ufalme ambazo wazandiki hawapaswi kuzijua kamwe 🐒
Waliokoka waliokufa pacha sisi tunapumzika, hafu leo kuna maji nimekunywa yana sumu 🤣🤣🤣🤣Oya pacha we si uli Sema ume okoka lakini 😄??
Niwekee bando ili iwe rahisi kuwakumbusha 😜before saa9 alasiri itakua tayari sehemu ya pili.
na,
actually sehemu ya tatu na nne ambayo ndio ya mwisho ziko tayari pia 🐒
hapana uongo hapa aisee,
hii kweli kabisaa straight forward,
na ndio maana wanainchi wananipenda sana mimi na huyu kiongozi wetu mkubwa wa kitaifa wa chama na serikali, comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
nikichelewa nikumbushe tafaddhalli, na uwajulishe na wengine 🐒 🐒
🤣🤣🤣🤣 machuga yako vizuri, hafu wale machuga wengi ni wapare waliokimbia uko milimani wakaenda chuga.!!Hakika simpati, nimehamishia majeshi kwa under25 ili nizeeke vizuri. Nenda kwa machuga huko hawana lolote...😁
inabidi ifanyike maombi ya nguvu sana, kuteketeza roho na nguvu za kipepo, zinazochochea kukaribia kutoa Siri za ufalme kwa watesi 🐒🤣🤣🤣🤣 niombeeni ni pepo limenivaa
🤣🤣🤣🤣 na mimi leo nimeshangaa!! Itakuwa wamenitupia majini mtumishi. Nimeacha sirudii tenainabidi ifanyike maombi ya nguvu sana, kuteketeza roho na nguvu za kipepo, zinazochochea kukaribia kutoa Siri za ufalme kwa watesi 🐒
🤣🤣🤣🤣🤣Bora huyo, Kuna Jamaa waki vuta harufu ya msosi Ina tosha😂😂
Nampenzi wangu HoneeeeeyyyyyyyNiko hapa, nitaje apate wivu
Yes,🤣🤣🤣🤣 na mimi leo nimeshangaa!! Itakuwa wamenitupia majini mtumishi. Nimeacha sirudii tena
Eeeh hili li shangazi..lina hadi kikuu mguuni.. kuku mgeni huyu safi sanaSema mishangazi huwa inaweza shughuli na kudekeza...
Itakuwa hizi ndio mambo kina Analyse wanavutiwa nayo...
Hii comment bila picha hutaielewa 😉
View attachment 2971771