Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Aimen 🙏Na Mungu akubariki sana.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,
Aimen 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aimen 🙏Na Mungu akubariki sana.
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,
Aimen 🐒
Hapo umejipata bina, ww nimekwambia kuna kitu nataka unielekeze fungua pm mara mojaWeeeeh kama nimejipata bina aweeeeh ntacheza ngoma za kikwetu miee.
🤣🤣🤣🤣 mji umepoa shosti unatakiwa uchangamkeUkorofi tuu 😂😂😂😂
Haya sawaHapo umejipata bina, ww nimekwambia kuna kitu nataka unielekeze fungua pm mara moja
ya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒Asap mh waziri 😜
Kuwakumbusha raia ni kazi ujue
Mheshimiwa tulia msemaji wako nipo hapaya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒
halafu nisije kutajwa kwamba na mimi nalipa watu wawaseme vibaya viongozi, si unajua hiyo ni hot current issue eeh 🐒
I must be careful, lazima nikuae chonjo nikue rada mbaya sana 🐒
Ntaweza bana 😂😂😂ya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒
halafu nisije kutajwa kwamba na mimi nalipa watu wawaseme vibaya viongozi, si unajua hiyo ni hot current issue eeh 🐒
I must be careful, lazima nikuae chonjo nikue rada mbaya sana 🐒
Haya njoo Bina tayariHapo umejipata bina, ww nimekwambia kuna kitu nataka unielekeze fungua pm mara moja
Wala sio big issue ni kitu cha kawaida tyuu!!Haya sawa
Msemaji uko makini 🤣🤣🤣Mheshimiwa tulia msemaji wako nipo hapa
wanainchi wa JF ni wa tofauti halafu wengine wanahasira mbaya ile kitu hawaezi ni kunifikia physically na kunichapa makwenzi, makofi na ngwara 🐒Ntaweza bana 😂😂😂
Ww waziri wetu wa JF
Inagoma bado nitext mimi nimefungua pmHaya njoo Bina tayari
Nkamu hutaki mimi nikuelekeze?Hapo umejipata bina, ww nimekwambia kuna kitu nataka unielekeze fungua pm mara moja
Sawa usijaliWala sio big issue ni kitu cha kawaida tyuu!!
Ngoja nifungue yangu unitext km kwako kuna ugumu
Hao ss hivi niachie mimi mwenezi wako na msemaji wako Missy Gf tutadili nao 😂wanainchi wa JF ni wa tofauti halafu wengine wanahasira mbaya ile kitu hawaezi ni kunifikia physically na kunichapa makwenzi, makofi na ngwara 🐒
hata hivyo,
kule jimboni wako wa chache wa aina hiyo lakini niko imara zaid kuwadhibiti hawawezagi kitu na wala hawafuagi dafu wakiniletea za kuleta 🐒
well done 👏Mheshimiwa tulia msemaji wako nipo hapa
🤣🤣🤣🤣 nkamu umenichekesha sanaNkamu hutaki mimi nikuelekeze?
Natetea kibarua changu shost.....hutaki kuendesha SubaruMsemaji uko makini 🤣🤣🤣