Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Asap mh waziri 😜
Kuwakumbusha raia ni kazi ujue
ya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒

halafu nisije kutajwa kwamba na mimi nalipa watu wawaseme vibaya viongozi, si unajua hiyo ni hot current issue eeh 🐒

I must be careful, lazima nikuae chonjo nikue rada mbaya sana 🐒
 
ya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒

halafu nisije kutajwa kwamba na mimi nalipa watu wawaseme vibaya viongozi, si unajua hiyo ni hot current issue eeh 🐒

I must be careful, lazima nikuae chonjo nikue rada mbaya sana 🐒
Mheshimiwa tulia msemaji wako nipo hapa
 
ya kusimamia kujenga shule, zahanati, barabara na choo ya watoto wa shule huko vijijini utaweza kweli?🐒

halafu nisije kutajwa kwamba na mimi nalipa watu wawaseme vibaya viongozi, si unajua hiyo ni hot current issue eeh 🐒

I must be careful, lazima nikuae chonjo nikue rada mbaya sana 🐒
Ntaweza bana 😂😂😂
Ww waziri wetu wa JF
 
Ntaweza bana 😂😂😂
Ww waziri wetu wa JF
wanainchi wa JF ni wa tofauti halafu wengine wanahasira mbaya ile kitu hawaezi ni kunifikia physically na kunichapa makwenzi, makofi na ngwara 🐒

hata hivyo,
kule jimboni wako wa chache wa aina hiyo lakini niko imara zaid kuwadhibiti hawawezagi kitu na wala hawafuagi dafu wakiniletea za kuleta 🐒
 
wanainchi wa JF ni wa tofauti halafu wengine wanahasira mbaya ile kitu hawaezi ni kunifikia physically na kunichapa makwenzi, makofi na ngwara 🐒

hata hivyo,
kule jimboni wako wa chache wa aina hiyo lakini niko imara zaid kuwadhibiti hawawezagi kitu na wala hawafuagi dafu wakiniletea za kuleta 🐒
Hao ss hivi niachie mimi mwenezi wako na msemaji wako Missy Gf tutadili nao 😂
 
Back
Top Bottom