Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hebu sema ni kitu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nkamu umenichekesha sana
Yawezekana ningekuwa nishakuelekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu sema ni kitu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nkamu umenichekesha sana
Asante ma. 😘😘😘Sawa usijali
🤣🤣🤣🤣 hatuna mbambambaYaani akae kwa kutulia ale ashibe jeshi tupo kazini
Ila shemeji pesa atanipa au kunivuruga tu.Hapo umejipata bina, ww nimekwambia kuna kitu nataka unielekeze fungua pm mara moja
Nataka mwenzangu 🤣🤣🤣🤣Natetea kibarua changu shost.....hutaki kuendesha Subaru
🤣🤣🤣🤣 ila nkamu hapo unatamani uingie piemHebu sema ni kitu gani
Yawezekana ningekuwa nishakuelekeza
Usijali kabisa binaAsante ma. 😘😘😘
Nimefurahi umenyooka km rulaaaa!!
Atakupa huyo hata thread zake anawasema kataa ndoa na wanaume wasiohudumia wanawakeIla shemeji pesa atanipa au kunivuruga tu.
Nimekupenda bure 😍😍😍Usijali kabisa bina
Hivi unatumia vigezo vipi kutambua jinsi ya member wa JF bila kuona kama ni verified member?Uzi huu unaweza ukawa chanzo cha ushoga.Tumia akili mingi mtu wa Mungu.Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja.
Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa make sure una-show love ❤️ unaweza kumpata mke wa maisha yako.
Wa kwangu mtamkuta kwenye comment, haya ladies on the stage show love kwa kidume kinachoumiza feelings zako
Weeeeeeh Mungu anipe nin mie Lovelovie jamaniAtakupa huyo hata thread zake anawasema kataa ndoa na wanaume wasiohudumia wanawake
😂😂😂🥰🥰🥰😘😘😘 Usijali kabisa mamie.Nimekupenda bure 😍😍😍
We mtoto unazingua Sana😂Tatizo kwenye ladies wawili waliopo JF...mie simo 😔
Shem ile kichwa ni mbovuShem mbona hueleweki sasa?? 😂😂😂😂 coca mshaachana mara hii??
I like secretaries who can possition themselves, and who are organized, focused and committed to come up with alternative plans like this in achieving social, economic and political objectives 👊💪Hao ss hivi niachie mimi mwenezi wako na msemaji wako Missy Gf tutadili nao 😂
You are welcome Mr honI like secretaries who can possition themselves, and who are organized, focused and committed to come up with alternative plans like this in achieving social, economic and political objectives 👊💪
this is real meaning of beauty with brain. Thank you very much ladies 🐒
Hujakosea kijana, pia kakitambi fulaniiii hivi kakuchomoza mbele na rangi ya mtu anaitwa mpoki,unamfahamu?🤣We Jamaa ukute ni kafupi, Hadi taulo Ina kuwa shuka kwako 😂 😆
Wewe ni mwanangu wa kiroho sana,kamwe hakuna mzandiki atapaswa kujua Siri za ufalme,maana hawana nguvu za kujua,kama ujuavyo ufalme utatekwa na wenye nguvu....na mwanangu una nguvu....nilikuwa najaribu kumuonya muumini mwenzangu asianze ukemia asubuhisubuhi Lamomy kama tunavyoaswa kufanya iwapo Mmoja wetu atakengeuka basi tuonyane sisi Kwa sisidah,
mtumishi amecharaza muandiko wa kipekee sana na uliobeba ujumbe mzito mno, na halafu karibia kugusa Siri za ufalme ambazo wazandiki hawapaswi kuzijua kamwe 🐒