Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja.

Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa make sure una-show love ❤️ unaweza kumpata mke wa maisha yako.

Wa kwangu mtamkuta kwenye comment, haya ladies on the stage show love kwa kidume kinachoumiza feelings zako
Hivi unatumia vigezo vipi kutambua jinsi ya member wa JF bila kuona kama ni verified member?Uzi huu unaweza ukawa chanzo cha ushoga.Tumia akili mingi mtu wa Mungu.
 
Hao ss hivi niachie mimi mwenezi wako na msemaji wako Missy Gf tutadili nao 😂
I like secretaries who can possition themselves, and who are organized, focused and committed to come up with alternative plans like this in achieving social, economic and political objectives 👊💪

this is real meaning of beauty with brain. Thank you very much ladies 🐒
 
I like secretaries who can possition themselves, and who are organized, focused and committed to come up with alternative plans like this in achieving social, economic and political objectives 👊💪

this is real meaning of beauty with brain. Thank you very much ladies 🐒
You are welcome Mr hon
Utupe na mipunga sasa sio maneno mengi 😂😂😂
 
dah,
mtumishi amecharaza muandiko wa kipekee sana na uliobeba ujumbe mzito mno, na halafu karibia kugusa Siri za ufalme ambazo wazandiki hawapaswi kuzijua kamwe 🐒
Wewe ni mwanangu wa kiroho sana,kamwe hakuna mzandiki atapaswa kujua Siri za ufalme,maana hawana nguvu za kujua,kama ujuavyo ufalme utatekwa na wenye nguvu....na mwanangu una nguvu....nilikuwa najaribu kumuonya muumini mwenzangu asianze ukemia asubuhisubuhi Lamomy kama tunavyoaswa kufanya iwapo Mmoja wetu atakengeuka basi tuonyane sisi Kwa sisi
 
Back
Top Bottom