Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Wewe ni mwanangu wa kiroho sana,kamwe hakuna mzandiki atapaswa kujua Siri za ufalme,maana hawana nguvu za kujua,kama ujuavyo ufalme utatekwa na wenye nguvu....na mwanangu una nguvu....nilikuwa najaribu kumuonya muumini mwenzangu asianze ukemia asubuhisubuhi Lamomy kama tunavyoaswa kufanya iwapo Mmoja wetu atakengeuka basi tuonyane sisi Kwa sisi
tena kuonyana kwa upendo katika Roho na Kweli 🐒
 
Back
Top Bottom