Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Umechanganya Ciroc na jaigermaster sio?acha kujifanya mkemia asubuhi subuhiπŸ™†πŸ™†πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜†πŸ˜†
dah,
mtumishi amecharaza muandiko wa kipekee sana na uliobeba ujumbe mzito mno, na halafu karibia kugusa Siri za ufalme ambazo wazandiki hawapaswi kuzijua kamwe πŸ’
 
Kwa Neema na Baraka za Mungu, jambo hili linazungumzika, na tutazungumza kwa upendo, na tuta afikiana kwa salama na Amani , na tutasonga mbele pamoya πŸ’
🀣🀣🀣🀣 hapo sawa!
Hivi ile story iliishia wapi?? Ujue kila nikichungulia naona hamna kitu!! Umeanza lini uongo waziri?? Yani watu wa mbogamboga hamjawahi kuwa wakweli kabisaa.!! Sijui kwann??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…