π¦ Ngoja Mimi niwashe tochi hawanioniπππUzi upo page ya 2749 lkn bado bila bila, sio wewe ndugu yangu wala sio mimi π
ππππ kweli? Haya nipe dunia nianze kuifanyia settings
πππππππ. Wapi huko.? Shemeji yenu anajua kuniaibisha πShosti unaniwashia moto sasa ππππ
Umeona shem kule anauza vitu vya wafu, aiseee pale hamna mtu
Kabisaa hana ubaguziπππAnatupenda wooteπ π
Fifi kajua kutukomesha leo kutaja tunashindwa
Umesema hivyo tu, nimekumbuka nusu saa iliyopita kilo mbili zimenitoka; nyie kwa nini mnapenda mdudu? π π π
Vp umetajwa au ngoma bilabilaππNgoja nikae huku upstairs niangalie mtanange
Sawa kijana, kwahiyo tandale unafika lini ? Uliniambia utafika au umesahauAisee tag 3 na nyingine zime futa, bado mna ita I'd zanguπ€£π€£.
Aisee bro Kaka ya ng'ombe ni ng'ombe, π€
Nipo namalizia kuunda chombo hapa safari ianzeπ€£π€£π€£Fanta uwahi utuache nataka niifumue kuna viumbe siwataki kuishi nao π€£π€£π€£
ππππππ Kumbe kuna kulala na kuegeshaπ€£π€£π€£π€£Unataka mambo ya bathtub na mishower gel au sio?ukitoka hapo unaenda kulala sio kujiegesha?safiiii sana hongera bwana Certified Hater
Andika maumivu huyu humpati sahivi π€£πππππππππYani huyu Equation x ni kaka angu mama kanituma huku mjini kumfukuza mwanamke wake mpya maan hatumi nyumbani pesa, amesahau kabisa nyumba.
DohHumu leo tunataja kwa machale zile ID ambazo hazichati sana ndio unataja unajua ukute hayupo Duniani sina wa kugombania naeππππ
DohHumu leo tunataja kwa machale zile ID ambazo hazichati sana ndio unataja unajua ukute hayupo Duniani sina wa kugombania naeππππ
AseeHumu leo tunataja kwa machale zile ID ambazo hazichati sana ndio unataja unajua ukute hayupo Duniani sina wa kugombania naeππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapiiii? Kisesa au igumbiro?