Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi unajua utamu wa kupenda wewe?? Ukimpenda mtu utatamani kila sehemu umuweke bango uonyeshe raia unavyopenda.!! Ww huyo timua anakumalizia vihela vyako uko piemuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza ukitajwa inaongeza na kurudisha nguvu za kiume, huoni wenzio wanaamua kuwaita mademu zao wawataje [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaa had machoziiiii!!!
Raha ya mapenzi muwe wazi, kila mtu atambue hilo.
 
Back
Top Bottom